Arab Man

Arab Man

Mabel

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2010
Posts
1,276
Reaction score
684
An Arab was being interviewed at a US checkpoint.
'Your name pls'?
"Abdul Aziz "
"Sex? "
"Six times a week!! "
"No, no, I mean male or female! "
"Doesn't matters, sometimes even camel !"
 
Eee makubwa,kwa hiyo yeye yoyote tu male,female au camel anafyagia,balaa
 
Eee makubwa,kwa hiyo yeye yoyote tu male,female au camel anafyagia,balaa

Yawezekana pia jamaa hakuelewa maswali yote mawili na hivyo kuanika nyeti zake hadharani.
 
Duh!kwa hiyo yeye awe mwanaume au mwanamke twende kazini!!
 
Waarabu wakishakula tende na maziwa ya ngamia huwa hawachagui pa kuchapa
 
Bro Tende unachanganya na maziwa hata ya n'gombe halafu unafanya milk shake kitu ndani ya box WAARABU WANASEMA MUJARAB KABISA
Bro kama unaishi Dar nenda opp msikiti wa Idrisa upo mtaa wa Msimbazi opp msimbazi police au msikiti wa Shazilia upo mwanzoni mwa mtaa wa Sikuku opp fire unaweza kupata hiyo milk shake
HAPPY NEW YEAR U N UR FAMILY
1/1/11
 
Hayo maziwa ya ngamia inawezekana yana protein nyngi? Ndio yasaidie kwenye mfechoo? Msaada tafadhal mnijuze.
 
jamani ndio yawezekana ni jokes lakini haikuwekwa kudharau watu,,,, au kudharau makabila ya wenzenu....
Yawezekana pia jamaa hakuelewa maswali yote mawili na hivyo kuanika nyeti zake hadharani.
 
An Arab was being interviewed at a US checkpoint.
'Your name pls'?
"Abdul Aziz "
"Sex? "
"Six times a week!! "
"No, no, I mean male or female! "
"Doesn't matters, sometimes even camel !"
na wewe mtoa mada kwanini usiweke mmasai ukaweka mwarabu.... hebu nijuze mna matani na warabu nyie,,,, mbona nyie hamuyataki,,
 
na wewe mtoa mada kwanini usiweke mmasai ukaweka mwarabu.... hebu nijuze mna matani na warabu nyie,,,, mbona nyie hamuyataki,,

Kwa sababu Waarabu wanapenda sana TIGO,na wamasai hawafahamu uwepo wa mtandao wa TIGO!!
 
Back
Top Bottom