Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
I will be short
Lini umeona Simba mechi yake anachezesha arajiga ?? Yanga mechi 3 . Azam fc . Ila Simba mechi zao zote ni za bahasha . Leo Refa kawa onea sana Namungo .
Karia kavuta pesa za mo . Kuwapa ubingwa wa mezani Simba .
Kila mechi ya Simba refa anamakosa ya kibinadamu .
Lini umeona Simba mechi yake anachezesha arajiga ?? Yanga mechi 3 . Azam fc . Ila Simba mechi zao zote ni za bahasha . Leo Refa kawa onea sana Namungo .
Karia kavuta pesa za mo . Kuwapa ubingwa wa mezani Simba .
Kila mechi ya Simba refa anamakosa ya kibinadamu .