Mbona unabifu namimi kwani nilishakufanya nini...?π€£Huko siko mimi..yani kayoko tuu ndo nina bifu nae
Basi tarehe 8 atachezesha kama mnamkubali.Huko siko mimi..yani kayoko tuu ndo nina bifu nae
Atachezesha ndio maana derby ya kariakoo inahitaji refa alie mature...Basi tarehe 8 atachezesha kama mnamkubali.
Cv izidi kupaaa, mtu poa kabisa huyuWaamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Kassim Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) kuchezesha mchezo wa Kundi G wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya wenyeji Botswana dhidi ya Algeria utakaopigwa Mjini Francistown Nchini Botswana Machi 21, 2025.
Algeria na Msumbiji wapo kileleni mwa Kundi G wakiwa na pointi 9 kila mmoja wakifuatiwa na Botswana, Guinea, na Uganda wenye pointi 6 kila mmoja huku Somalia ikiburuza mkia bila pointi yoyote
π π π π nimejikuta nacheka..hivi kumbe nina bifu na ww na sijui...ahahahhaahahhMbona unabifu namimi kwani nilishakufanya nini...?π€£
Kombe la dunia la mama yake.Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Kassim Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) kuchezesha mchezo wa Kundi G wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya wenyeji Botswana dhidi ya Algeria utakaopigwa Mjini Francistown Nchini Botswana Machi 21, 2025.
Algeria na Msumbiji wapo kileleni mwa Kundi G wakiwa na pointi 9 kila mmoja wakifuatiwa na Botswana, Guinea, na Uganda wenye pointi 6 kila mmoja huku Somalia ikiburuza mkia bila pointi yoyote
Hakika huyu kwa sasa ndiye referee bora labisa hapa Tanzania πΉπΏBest referee at the moment
na tarehe nane ndo litakuwa kubwa zaidi...π€£π π π π nimejikuta nacheka..hivi kumbe nina bifu na ww na sijui...ahahahhaahahh
Aaaa basi sawaaaana tarehe nane ndo litakuwa kubwa zaidi...π€£