Haya madhindano sana sana Wahindi ndo washiriki,Waswahili vipii naona ni wachache sana.
Yupo vizuri though wanamuona kama ana majivuno cjui kwannHuyu jamaa nishida sana sijui itakuaje! Natamani angekuwa na Subaru Evo X (Evo ten)
Dharam Pandya –
Manmeet Birdi (TZ-TZ/
Mitsubishi Evo IX)
Nmemuona mwanamama mmoja katika mashindano hayo hivi hakunaga wana jf wanaochezaga hyoEehhhh unialike kwenye mazoezi ukianza naweza kushawishika kuwa navigator wako[emoji3]
Nmemuona mwanamama mmoja katika mashindano hayo hivi hakunaga wana jf wanaochezaga hyo