Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Nimechapia ni Subaru WRX STI!!Hakuna gari iitwayo Subaru Evo X
Watakaosumbua ni
Miller
Pandya
Mangat
Huyo mwanamana Monica Lyimo hongera zake.... labda wapo unajua tena ID fakeNmemuona mwanamama mmoja katika mashindano hayo hivi hakunaga wana jf wanaochezaga hyo
Hizo Subaru ndo hizi tunazoziona mtaani au kuna Subaru nyingine
Halafu hivi kwanini wanatumia magari aina tofauti?
Nakuja Babu.....hivi unapatikana kwa namba gani tena nikumbusheNiko Bagamoyo
Ileile ya voda. TiGo nimeipiga chini. Sitaki kukosa safari ya mbinguniNakuja Babu.....hivi unapatikana kwa namba gani tena nikumbushe
Nimechapia ni Subaru WRX STI!!
wale team Haris siwaona bila kumsahau Madebe sijui atakwepo jina lake kama silioni kwenye list!!