Mtanzania13msemakwel
New Member
- Mar 8, 2015
- 2
- 0
Hatimae Sasa ufisadi wahamia vyuoni.
Baada ya ya zaidi ya millioni tatu(3 mil)kugundulika kuibiwa na nyingine kutumika vibaya katika account ya serikali ya wanafunzi chuo kikuu (Ardhi University ) na bunge la chuo hicho kuhoji vurugu kubwa lazizima
Huku sakata hilo likipelekea kutaka serikali kuwajibishwa na wabunge takriban asilimia 80% ya waliomo kwenye bunge hilo,tar 23/01/2015 hali ya ajabu ilitokea kwenye bunge hilo baada ya SERIKALI ikiongozwa na waziri mkuu kufanya vurugu kubwa ndani ya bunge hilo.
Hali hii ni tofauti na kawaida kwakuwa tumezoea kuona wabunge wakifanya vurugu, ila hii ni tofauti kabisa maana hata viombo vya usalama vilishindwa kuingilia kati ilikuweza kuwatuliza mawaziri hao waliokuwa wakizuia mswada wenye vipengele takriban 15 vikieleza utendaji mbovu wa serikali,uwizi, na uongo ambao serikali hio imekuwa ikutumia ili kuendesha shughuli zake.
Hadi sasa hatma ya serikali haijulikani baada ya vurugu hizo zilizodumu kwa takriban lisaa limoja na nusu na kusababisha kikao cha bunge kuvunjika.
Wanzuoni sasa nao ufisadi hodi!
Baada ya ya zaidi ya millioni tatu(3 mil)kugundulika kuibiwa na nyingine kutumika vibaya katika account ya serikali ya wanafunzi chuo kikuu (Ardhi University ) na bunge la chuo hicho kuhoji vurugu kubwa lazizima
Huku sakata hilo likipelekea kutaka serikali kuwajibishwa na wabunge takriban asilimia 80% ya waliomo kwenye bunge hilo,tar 23/01/2015 hali ya ajabu ilitokea kwenye bunge hilo baada ya SERIKALI ikiongozwa na waziri mkuu kufanya vurugu kubwa ndani ya bunge hilo.
Hali hii ni tofauti na kawaida kwakuwa tumezoea kuona wabunge wakifanya vurugu, ila hii ni tofauti kabisa maana hata viombo vya usalama vilishindwa kuingilia kati ilikuweza kuwatuliza mawaziri hao waliokuwa wakizuia mswada wenye vipengele takriban 15 vikieleza utendaji mbovu wa serikali,uwizi, na uongo ambao serikali hio imekuwa ikutumia ili kuendesha shughuli zake.
Hadi sasa hatma ya serikali haijulikani baada ya vurugu hizo zilizodumu kwa takriban lisaa limoja na nusu na kusababisha kikao cha bunge kuvunjika.
Wanzuoni sasa nao ufisadi hodi!