baina JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 219 Reaction score 59 Aug 30, 2013 #1 Jamani hivi hawa jamaa wa ardhi mbona hivi?, yaani admision nazo mpaka tuonge?, kama hawataki si waache. dah.
Jamani hivi hawa jamaa wa ardhi mbona hivi?, yaani admision nazo mpaka tuonge?, kama hawataki si waache. dah.
Landcruiser JF-Expert Member Joined May 27, 2013 Posts 1,805 Reaction score 599 Aug 30, 2013 #2 baina said: Jamani hivi hawa jamaa wa ardhi mbona hivi?, yaani admision nazo mpaka tuonge?, kama hawataki si waache. dah. Click to expand... alafu, what next.
baina said: Jamani hivi hawa jamaa wa ardhi mbona hivi?, yaani admision nazo mpaka tuonge?, kama hawataki si waache. dah. Click to expand... alafu, what next.
T Tanya JF-Expert Member Joined May 4, 2013 Posts 340 Reaction score 159 Aug 30, 2013 #3 Mvumilivu hula mbivu. Endelea kusubiri
MWAMUNU JF-Expert Member Joined Dec 17, 2011 Posts 860 Reaction score 519 Aug 30, 2013 #4 Nyie madogo mnanishangaza sana na hiyo kauli yenu ya "nimechoka kusubiri " we unachoka wakati ndo kwanza gemu linaanza !!
Nyie madogo mnanishangaza sana na hiyo kauli yenu ya "nimechoka kusubiri " we unachoka wakati ndo kwanza gemu linaanza !!