Ardhi na Kilimo

Ardhi na Kilimo

Nsemwas Junior

Senior Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
173
Reaction score
56
Habari wana JF?Naomba msaada wenu wa information juu ya bei za mashamba huko Morogoro vijijini nataka kwa ajili ya kulima mahindi,maharage nk.Naomba pia kujua makadirio ya gharama za vibarua kulima kwa heka na kukodi trekta kwa heka ni shilingi ngapi?Nitashukuru sana kupata majibu ya maswali haya"THINK BEYOND THE SKY LIMIT"
 
Back
Top Bottom