Make future plans to have ardhi appWelcome Sir
Mbona naona siku hizi swala la kupata Hati miliki limekua rahisi Especially sehemu za miji mikubwaArdhi kubwa nchi hii haina hati,Nina kiwanja dodoma,toka 2018 nafuatilia hati,control number tu ni shida.Na kujenga lazima upewe kibali,kibali lazima uwe na hati.kero ni nyingi sn kwenye kupata hati miliki
Mimi pia nipo Dodoma, ila Hati nimeipata ndani ya mwezi mmoja tu tokea nianze kuifuatilia' control number nilipewa siku hio hio, kibali sio lazima uwe na hati' kibali ukiwa tu na invoice unapewa ndani ya 1 week!!Ardhi kubwa nchi hii haina hati,Nina kiwanja dodoma,toka 2018 nafuatilia hati,control number tu ni shida.Na kujenga lazima upewe kibali,kibali lazima uwe na hati.kero ni nyingi sn kwenye kupata hati miliki
Nashindwa kuelewa jamaa atakua amekwama wapiMimi pia nipo Dodoma, ila Hati nimeipata ndani ya mwezi mmoja tu tokea nianze kuifuatilia' control number nilipewa siku hio hio, kibali sio lazima uwe na hati' kibali ukiwa tu na invoice unapewa ndani ya 1 week!!
Bonge la idea mkuuMake future plans to have ardhi app
Tuko pamoja kwenye hiliHabari wana JF
Karibuni kwenye Ardhi special thread huku tutapeana taarifa mbali mbali kuhusiana na Umiliki wa viwanja na Mashamba
Pia tutapeana njia mbali mbali za kufanikisha maswala ya umiliki wa viwanja Mijini na vijijini
Tutapeana mbinu mbali mbali za kuepuka kutapeliwa
Upande wa hati miliki tutapeana elimu za namna ya kupata Hati miliki
Utofauti wa kati ya hati miliki ya wizara, hati miliki ya kimila na hati miliki ya serikali ya mtaa
Karibuni tuchangie mada , Kama kuna mtu ana swali analohitaji ufafanuzi wake aulize hapa naimani atapata majibu yake
Asanteni
hili la kujenga kuwa lazima uwe na hati si kweli, vibali vinatolewa kwa maeneo yaliyopimwa pia kwa yasiyopimwa, kwa eneo lililopimwa na hati haijatoka utapewa kibali kupitia offer ya eneo husika na kwa yasiyopimwa kibali kinatolewa kupitia mkataba wa mauziano ulioidhinishwa na serikali ya mtaa/kijiji husika.Ardhi kubwa nchi hii haina hati,Nina kiwanja dodoma,toka 2018 nafuatilia hati,control number tu ni shida.Na kujenga lazima upewe kibali,kibali lazima uwe na hati.kero ni nyingi sn kwenye kupata hati miliki
Lakini kwa dunia ya sasa ni vizur zaid kuwa na Hati miliki ili kuepusha migogoro ya Ardhihili la kujenga kuwa lazima uwe na hati si kweli, vibali vinatolewa kwa maeneo yaliyopimwa pia kwa yasiyopimwa, kwa eneo lililopimwa na hati haijatoka utapewa kibali kupitia offer ya eneo husika na kwa yasiyopimwa kibali kinatolewa kupitia mkataba wa mauziano ulioidhinishwa na serikali ya mtaa/kijiji husika.
viwanja vilivyopimwa huwa na bei kubwa hivyo wengi wetu hushindwa kumudu gharama zake. ila unaweza nunua eneo hata lisilopimwa baada ya kujua matumizi ya eneo husika na kufanya upimaji baadaye.Lakini kwa dunia ya sasa ni vizur zaid kuwa na Hati miliki ili kuepusha migogoro ya Ardhi
Uko sahihu ila ni muhimu kununua kutoka kwa makampuni ya real estate kuliko kununua kwa mtu binafsiviwanja vilivyopimwa huwa na bei kubwa hivyo wengi wetu hushindwa kumudu gharama zake. ila unaweza nunua eneo hata lisilopimwa baada ya kujua matumizi ya eneo husika na kufanya upimaji baadaye.