Kuna hostel ipo maeneo ya lufungira inajulikana kama Savei plaza,hii ni hostel ya mtu binafsi lakini imeingia mkataba na chuo kikuu Ardhi,hvyo inaweza kuchukua wanafunzi 300 kutoka Ardhi,na malipo yake ni 180,000 kwa semister,maji na umeme vinapatikana.