Ardhio ni nini?

It sense like tamanio ama dhamira unayotaka kuitekeleza lkn hizo ni tafsiri zangu tu..
 
Kwakweli kiswahili kimekuwa kigumu siku hizi! mimi tangu wanatangaza sijaelewa maana yake hadi sasa🤣🤣 labda kwa kuwa siku hizi wanasimama na wameongeza masofa🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
 
Ardhio plus ardhia!!🤔🤔 Jibu ni kubalio.😜😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…