Are non Muslem lawyers allowed in kadhi courts?
Can a non Muslim lawyer allowed to appear before Kadhi court and/or acting/represent a Muslim client? Do you think it will be a waste of time as he/she can never be listened nor his/her submission taken, especially if the other side is represented by a Muslim lawyer?
Or, do you think the Kadhi will manipulate and deliver ruling against him or her citing rules and law evidence under Muslim law which are strange to the non- muslem lawyer?
Katika mahakama za kadhi. Hapa mahakimu wote ni lazima wafungamane na sheria za kiislam kwa vitendo. Hivyo ni lazima kwanza wawe waislam. lakini pia hata wanaomsaidia kadhi kutafsiri hizo sheria ni lazima wafungamane na hizo sheria. Kwa msingi huo nao lazima wawe waislam.
Halikadhalika kwa mshtaki na mshtakiwa lazima wawe waislam.
Katiba yetu
Kwa hiyo Serikali itakapotia mguu kugharamia Mahakama za Kadhi itakuwa imejiingiza kutangaza dini ya Kiislamu ambapo itakuwa ni kuvunja Katiba!