Are spies made or born?

Mkuu upo vatican!!!?VIPI katiba MPYA itapatikana ndani ya miaka HII mitatu kabisa ya 2025!!?
 
Mmmh aligundulika na kuuawa na Waarabu?
 
Tatizo letu ni kuruhusu siasa ziwe kila kitu! Bahati mbaya hizo siasa zinapata nguvu kuingia hadi chumbani na kuinfluence mambo yasiyohitaji siasa.

Tukiweza kuweka mipaka ya siasa tutafanikiwa kuwafanya viongozi wetu wafanye maamuzi yaliyochujwa vyema.

Nafikiri kama Taifa tumejifunza mengi na tunahitaji total overhaul to shape us on a permanent and right direction, Katiba mpya ni sehemu ndogo ya hayo.
 
Reactions: Ame
Mtu anayeokota takataka jalalani kwa kujifanya kuwa ni kichaa wakati siyo, mtu wa ina hii mimi nikimkuta kwenye jalala anafanya hivyo, uwezekano mkubwa ni kwamba naweza kumgundua kuwa huyu mtu siyo kichaa isispokuwa ame-pretend kuwa ni kichaa.

Je, huwa mnakuwa trained pia kwenye upande huo wa kuweza kuwakwepa baadhi ya watu wachaahe wanaoweza kuwagundua kuwa ninyi siyo vichaa ili muweze kuendelea kufanya kazi unnoticed?
 
Possibly kwenye eneo hili tu la COMPREHENSION, he was not the right person. Possibly the same person angeweza kuwa mzuri zaidi kwenye eneo la la IT possibly kwenye ku-hack system za adui. Uli-mtest kwenye eneo la lugha ambalo pengine hakuwa mzuri sana; looks like alikuwa na uwezo wa kupata A's kwenye Physics au Mathematics, halafu wakati huo huo akapat C ya kiingereza au Kiswahil
 
Naweza kujitolea kazi hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…