Are we ready for EAC-Common Market?

Survival of the fittest si ya watu wamoja. Kwenye Federation ni kuleta matatizo, ingekuwa hivyo Nyerere angeacha Kilimanjaro na Kagera wakaendelea maana wao walianza vizuri, sijui kama kuna mtu angelamba kitu. Lakini ukitaka kujenga jamii ya maelewano, wakati mwngine unatoa kwa mwenye kingi unampa aliyekosa. Je ndivyo hii Federation inalenga?
 
Survival of the fittest is about grabbing as much and as quick as you can before your counterparts knows it. Ameanza kujisema mwenyewe wanachotaka. Nikisema, ooh mchochezi, oohh....
 
Halafu Smatta huuma akivuvia na wakati mwingine hupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Ana maneno pia ya kumtoa nyoka pangoni....kikulacho ki nguoni mwako..that's what am seeing in H.E. Smatta.
 
 
Halafu Smatta huuma akivuvia na wakati mwingine hupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Ana maneno pia ya kumtoa nyoka pangoni....kikulacho ki nguoni mwako..that's what am seeing in H.E. Smatta.
I have noted that too. But I must say, the discussion in this thread is good - very good actually, maana tumepata wasemaji safari hii.
 

Smatta unaishi wapi kwa sasa? Upo Kenya au TZ inaonekana kama upo TZ na una ham kweli uendelee kula life huku. Karibu ila usitufanye tuwe wageni nyumbani kwetu,usitupelekeshe.
 
Bora FDI za makaburu kuliko za Kenya. Wawekezaji wengine hawaji na wafanyakazi wao labda wataalamu wachache kama vitegauchumi kutoka Kenya. Mtu angejua jinsi graduates wa kitanzania wanayonyanyaswa kwenye kampuni kutoka Kenya asingeongea. Sema baadhi tu ya wachangiaji hapa ni wakenya ambao wanatetea integration isiyokuwa na maslahi kwa Mtanzania. Inapokuwa kwamba CEO ni Mkenya, anaajiri watu kutoka kwao, na kusema kuwa waTZ ni inneficient, sasa nasema hivi, this is the time bomb, siku likilipuka..nimesema ya kutosha. Ikiniita mwoga kwa kuchukua tahadhari ya raslimali zangu, na niite.
 

Wewe ni mwoga tu, ndio maana unachukua hiyo approach ya violence to justify what you claim to be right. Kenyans might be tribalistic lakini we dont spew nationalistic venom against foreigners in our country. If its competition you fear (whether business wise or employment), then you need to be really afraid, and you seriously need to up your game, because as I see the way things are being steered, there is a very high possibility of the fully operational EAC (minus the land clause of course😀) in place sooner than we all expect.

What will you do, except shout yourself hoarse. Stop being sentimental about things beyond your control, try a different approach and maybe you will win hearts.

I think to you it is better to be exploited by a white man or an Arab than to do genuine business with a fellow African. A friend of mine was recently(2 wks ago) in Bongo, and he was telling me how European companies ship out lotsa Tanzanite, Diamond, Gold as soil for export, therefore not paying for the right amount of minerals they export. you prefer this than a Kenyan to act as a broker in mererani and at least pay for what he legally gets. Its sad for us to pretend that our countries are run by wastaarabu politicians while they stay raping it for decades while we bury our heads in the sand.
 
Smatta unaishi wapi kwa sasa? Upo Kenya au TZ inaonekana kama upo TZ na una ham kweli uendelee kula life huku. Karibu ila usitufanye tuwe wageni nyumbani kwetu,usitupelekeshe.

Mie Mkenya na naishi Kenya lakini huja Tanzania sana kibiashara na kujivinjari wakati mwingine. na sio ati napapenda sana, lakini naona kuna lots of unexploited opportunities, ndio maana mimi huvuka border sana kutafuta mapeni, nothing more. I prefer home though, the climate, the people, the pace, the beer, the women, i like everything about Kenya and I cant change ma citizenship for anything in this world.
 
Majambazi kutoka kenya hawasubiri kusainiwa kwa Common market protocol ili waingie nchini, na tayari walishaanza kufanya kazi zao
 
align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongNimekuwa nikifuatilia kwa makini michango ya wachangiaji wa mada hii. Nami naomba kuchangia kama ifuatavyo. /strong/em/span/divdiv align="center"br /span style="color:#3366ff;"emstrongKwanza kabisa naomba kumshukuru Rais wetu Mh. Jakaya Kikwete, kwa kutokuwa na pupa na hili suala hili la Shirikisho la Afrika Mashariki, na pia kwa namna ambavyo amejitoa muhanga katika kushughulikia masuala mbali mbali ya ufisadi na rushwa za viwango vikubwa ambavyo ndivyo vimekuwa vikwazo vikubwa vya maendeleo kwa Tanzania. Naomba kuzungumzia faida za Shirikisho kwa Kenya kama ifuatavyo./strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongbr /span style="color:#000099;"Faida za Kenya katika Shirikisho/spanbr //strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Ardhi /spanbr /Kenya kuna uhaba wa ardhi kama ambavyo wachangiaji wengine wamezungumza na pia sheria zao za ardhi hazina manufaa kwa watu wa maisha ya kati na ya chini ambao ndiyo asilimia kubwa, yaweza kuwa asilimia 90 au 95. Hivyo basi kwa kuungana na Tanzania yaweza kuwa suluhisho la tatizo la ardhi kwao, kina Gitau na kina Kamau wataweza kumiliki ardhi Tanzania. Kwa upande mwingine watanzania hawataweza kumiliki ardhi Kenya kwa kuwa ardhi Kenya haipo.br /Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzania /strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongbr / /div/strong/em/spandiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Rasilimali Nyinginezo/spanbr /Ukiachilia mbali suala la ardhi, Tanzania inazo rasilimali nyingine kama vile vito na madini mbalimbali, sehemu kubwa za uvuvi, gesi ya Songo Songo n.k. Hizi ni rasilimali ambazo Kenya imekuwa ikizitizama kwa husuda kubwa. Kwa mtizamo wa Kenya in kwamba rasilimali hizi badala ya kumilikiwa na Tanzania peke yake, Kenya itapata upenyo wa kuwa na sauti na umiliki wa rasilimali hizi. Katika hili Kenya inategemea kufaidika zaidi.br /Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzaniabr //strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrong/strong/em/span /divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="color:#000099;"Uingiaji wa Wageni Afika Masharikibr //spanKenya imekuwa ikijitangaza kwamba uwanja wa ndege wa Nairobi ni “Gateway of East Afrika”, hii ikiwa na maana ya “lango la kuingilia Afrika Mashariki”, na inataka kuhalalisha hilo katika Shirikisho la Afrika Mashariki. Tafsiri ya hili kiuchumi ni kwamba, wageni wanaokuja Afrika Mashariki watashawishiwa kuingilia Nairobi-Kenya. Wageni wanapoingilia Nairobi ina maana asilimia kubwa ya fedha ya kigeni waliyokuja nayo wataiacha Kenya kwa njia ya kulipia kodi za viwanja vya ndege, malazi usafiri n.k. Inawezekana pia nchi za Shirikisho zikashawishiwa kuchangia fedha kukuza lango hilo kuu la kuingilia Afrika Mashariki.br /Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzaniabr //div/strong/em/spandiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Soko la Utaliibr //spanKama ilivyo kwa airport, sheria ya Shirikisho inahitaji vivutio vya utalii vitangazwe kwa pamoja. Hii ina maana kwamba Tanzania haitaweza kujitanganza kiutalii. Wageni wataambiwa “Njoo Afika Mashariki kupitia Nairobi Kenya uone mbuga za wanyama za Afrika Mashariki” Hii ina maana kwamba kampuni za utalii Kenya zitakuwa kwa kasi kubwa. Pesa yote ya utalii itokanayo na kodi za utalii, usafiri, malazi n.k. itabaki Kenya. Kampuni zetu za utalii Tanzania zitakufa, ajira ya watanzania kwenye sekta ya utalii itasinyaa na kufa. Sekta ya utalii itatawaliwa na wakenya, na kutokana na hulka yao ya ukabila hakuna mtanzania atakayeweza kupata ajira katika sekta hiyo.br /Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzaniabr //strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrong/strong/em/span /divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Ukuaji wa Viwanda Uchumi/spanbr /Kwa mazingira yaliyokuwepo sasa hivi, Kenya imeendelea sana kwa upande wa viwanda kuliko Tanzania. Kama tunavyofahamu viwanda vinaleta msukumo mkubwa katika maendeleo. Kwa sasa hivi Tanzania ni mojawapo ya masoko makubwa ya Kenya. Mwelekeo wa Shirikisho ni kwamba, viwanda Kenya vitaendelea kukua. Hii ina maana ya kukua kwa ajira Kenya. Tanzania itakuwa ni sehemu tu ya kuzalishia malighafi na kuwa soko la Kenya. Mara nyingi wenye viwanda ndiyo wenye kupanga bei za mali ghafi, hivyo malighafi ya Tanzania itakuwa inapangiwa bei na wakenya.br /Faida zaidi hapa ni kwa Kenya kuliko Tanzaniabr //div/strong/em/spandiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Ajira /spanbr /Shirikisho litakuza ajira zaidi kwa Kenya na pia labda kwa Tanzania. Ila kama tunavyofahamu kwa Kenya, “U-Kamau”, “Uluo”, “Ukikuyu”, “Ukamba”, “U-Wagitau Waigiri” nikiwa na maana ya ukabila, umetawala fikra za wakenya. Hakuna mtanzania atakayeweza kupata ajira Kenya. Wengi mnakumbuka matukio mbali mbali ya watanzania wasomi waliowahi kushika nafasi nyeti Kenya na kurudishwa Tanzania wakiwa maiti. Ukweli ni kwamba ajira kwa mtanzania Kenya ni ndoto, haiwezekani. Sababu kubwa siyo kwamba watanzania hawana uwezo, ila ukabila umetawala sana Kenya. Wafute ukabila kwanza kabla ya Shirikisho. Na hii si kwa Kenya tu bali pia kwa majirani zetu wa Uganda, Rwanda na Burundi.br /Faida zaidi hapa ni kwa Kenya kuliko Tanzania /strong/em/span/divdiv align="center"emstrongbr / /div/strong/emdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Usalama wa Raia na mali zao Tanzania/spanbr /Kwa Tanzania mbali ya kuwa na hasara za kiuchumi bali pia kama tunavyofahamu kumekuwa na matukio mengi ya vitendo vya majambazi kutoka nchi za Kenya, Rwanda na Burundi. Matukio hayo yamekuwa yakihatarisha usalama na amani hapa nchini. Matukio ya hivi karibuni ni pamoja na ujambazi wa kuvamia mabenki uliotokea katika benki za Moshi, CRDB Azikiwe Dar es Salaam, na NBC Ubungo. Uvamizi huo ulifanywa na majambazi waliokuwa wamesheheni zana za kivita kutoka Kenya. Matukio mengine ni pamoja na vitendo vya utekaji nyara magari sehemu za Kagera na Ngara. Watanzania tuwe macho na majirani wenye hulka za namna hii.br //strong/em/span/divdiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Hasara kwa Tanzania /spanbr //strong/em/spanspan style="color:#3366ff;"emstrongEndapo Shirikisho litavunjika baada ya miaka ishirini ijayo nani atafaidika?br /Kwa uchambuzi niliofanya hapo juu, ni wazi kwamba, malighafi za Tanzania ukiachilia mbali mazao ya mashambani zitakuwa zimekwisha, viwanda nchini Kenya viatkuwa vimekuwa sana na ajira nyingi zitakuwepo Kenya, Tanzania itabaki kuwa soko tegemezi kwa Kenya.br /Faida kwa Kenya hasara kwa 099;"Faida kwa Tanzania/spanbr /Naomba kwa wale watanzania wenye uelewa zaidi watufahamishe faida za shirikisho kwa Tanzania kwa maana mimi binafsi sizioni.br //div/strong/em/spandiv align="center"span style="color:#3366ff;"emstrongspan style="font-size:130%;color:#000099;"Ombi kwa Gitau Waigiri na Kamaubr //spanHawa niliotaja hapa ni wachangiaji wa mada hii ambao wametumia kejeli kubwa kudhalilisha watanzaia pamoja na viongozi wao. Natumaini kwamba wachangiaji hawa pamoja na wakenya wengine wamekuwa wakifuatilia mada hii kwa karibu. Naomba watufahamishe Tanzania itafaidika vipi katika Shirikisho wakiainisha kipengele kwa kipengele kama nilivyoainisha hapo juu br ongOmbi kwa Idara ya Uhamiaji Tanzaniabr /Kumekuwa na wakenya ambao wameweza kujipenyeza kwenye soko la ajira Tanzania. Tunaomba, kabla maofisa wa uhamiaji hawajaanza kuwajibika katika wakati huu wa uwajibikaji wachunguze kwa makini hizo ajira, na kuona kama kuna umuhimu wa wakenya hao kuchukua nafasi hizo ambazo zinapunguza ajira kwa watanzania.;"Ombi kwa watanzania/spanbr /Tutafute namna ya kukuza elimu Tanzania, tuwekeze katika elimu ili tuweze kumiliki na kuendeleza rasilimali zetu. Tupige vita kwa moyo wote ufisadi na rushwa, kwani hivi ndivyo vikwazo vikubwa vya maendeleo, popote duniani. Athari za rushwa kwetu Tanzania tumeziona katika chaguzi za viongozi, zimesababisha kupata viongozi wasiokuwa sahihi, wizi mkubwa, mikataba mibovu, nk. hivi vyote vimeligharimu taifa na kudumaza maendeleo. Tupige vita ukabila na tuukumbatie umoja wetu. Tufanye kazi kwa bidii kubwa ili kukuza uchumi. / .......................................................................................................

Ingawa inasomeka kwa taabu, hiyo ni analysis nzuri kutoka Jambo blog, imefanywa na mtu mwenye akili nzuri, uache wanaotakan kuuza nchi. Wewe Smatta soma hiyo. But why can't you compete in your own country? Nakwambia, nilishasema, just come at your own risk. Sisi tunawajua nyinyi, kwanza ni watu wabaya, tabia mbaya, ukabila, ubaguzi, wizi, ulafi, sasa unaona mtakuwa na usalama nchi hii? Nenda mkachinjane kwenu kama mlivyofanya uchaguzi, you landless people. Soma hizo hoja za mdau wa Jambi Blog! Kama ukitaka kuelewa, usipotaka acha. Watu hamna ardhi wala uzazi wa mpango, mnataka kutujazia nchi na omba omba wenu. Tunao wa kutosha hata sisi.
 
i dont have the time to decipher what you have copy pasted above, try and remove the chaff from the readable stuff ndio tuweze soma kwa urahisi, kama hujui kufanya hivyo uliza uambiwe.

Its sad for an adult (I thought you were one but am seriously starting to doubt this) to stereotype people you have probably never met. Thats the reason I usually say that most of you guys are unschooled, only a handfull have seen the inside of a class, and people like you make it seem true. Mimi na most of Kenyans hatuna tabia mbaya, ukabila, ubaguzi, wizi, ulafi.. This is just fear which is somehow deeply entrenched in your folks by I dont know who.
MWOGA WEWE.
 
Sihitaji kuwa rated na mtu kama wewe., mkimbizi wa shida za nchi yako! Kama hatujasoma, unakuja kutafuta nini kuishi na watu ambao hawakusoma? Hilo lenyewe ni tatizo mojawapo kututukana. Ebu onyesha CV yako wewe uliyesoma. Nakwambia kabanane huko Kibera, Dandora na Huruma kwenu. Sasa unalazimisha kuungana na mtu. Majority ya maoni wanasema hawataki. Huoni uko hatarini kwenda kuishi sehemu usiyotakiwa? Hiyo post niikuta hivyo, usidhani nina muda wa kukaa na edit posts za watu, lengo ni maoni ya mtu. Nobody needs Nyang'au and savages like you. Hiyo post inakuuma ndiyo maana huipendi. Ndugu zako majambazi si unajua tulivyowafanya walivykuja kuiba Benki Moshi! 14 of them walikwenda na Maji. Wanyang'angyi nyie. Hata mkoa wa Mara ndio mnaiba ng'ombe na mali nyingine, ni suala la muda wavamizi nyie. Kamwulize Idi Amin! Migingo yenyewe hamjamalizana na waganda, mnajileta leta kama machangudoa, au mnatembeza miili yenu , mkauze kwingine!
 
Mlizoea kumwaga damu, mwageni ya kwenu mkiwa kwenu. Chema chajuiza, kibaya chajitembeza. Kwanza una hela kiasi gani, maana unasema unakuja kufanya biashara. Au ndio wale wale wa bidhaa haramu, money laundering na madawa ya kulevya. Si ungepitia Tanzania Investment Center, hatuhitaji machinga kutoka nje ya nchi hii, na wewe inawezekana mmoja wapo!
 
Boy You sound so bitter in each of your post, and when you start catching feelings you sound dumb as hell, chill mayne. Tell us your story, is your wife sleeping with your Kenyan boss? That can be enuff reason for you to spazz like that and its justified anyway, but that doesn't give you a license to act like a douche bag.

Learn how to realax boy, smoke some weed or something, Its not good when a brother starts getting hot in the neck, frothing in the mouth, and starts acting like an Emotional tard, rub one out for your healths sake, so instead of coming here and acting like a s.hit head work on your thesis, and come here with facts (but after finishing your education and making money) so that we can argue sense.

Rudi shule kijana ndio uje kuuliza wazee wana hela ngapi, mpuzi wewe.
 
Smatta,
Jamaa ametaka uoneshe CV yako naona umecharuka kweli kweli.

i dont have the time to decipher what you have copy pasted above, try and remove the chaff from the readable stuff ndio tuweze soma kwa urahisi, kama hujui kufanya hivyo uliza uambiwe.
All right then, here you go,
Saturday, December 6, 2008
mchango wa mdau kuhusu jumuiya ya afrika mashariki
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini michango ya wachangiaji wa mada hii. Nami naomba kuchangia kama ifuatavyo.

Kwanza kabisa naomba kumshukuru Rais wetu Mh. Jakaya Kikwete, kwa kutokuwa na pupa na hili suala hili la Shirikisho la Afrika Mashariki, na pia kwa namna ambavyo amejitoa muhanga katika kushughulikia masuala mbali mbali ya ufisadi na rushwa za viwango vikubwa ambavyo ndivyo vimekuwa vikwazo vikubwa vya maendeleo kwa Tanzania. Naomba kuzungumzia faida za Shirikisho kwa Kenya kama ifuatavyo.


Faida za Kenya katika Shirikisho

Ardhi
Kenya kuna uhaba wa ardhi kama ambavyo wachangiaji wengine wamezungumza na pia sheria zao za ardhi hazina manufaa kwa watu wa maisha ya kati na ya chini ambao ndiyo asilimia kubwa, yaweza kuwa asilimia 90 au 95. Hivyo basi kwa kuungana na Tanzania yaweza kuwa suluhisho la tatizo la ardhi kwao, kina Gitau na kina Kamau wataweza kumiliki ardhi Tanzania. Kwa upande mwingine watanzania hawataweza kumiliki ardhi Kenya kwa kuwa ardhi Kenya haipo.
Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzania


Rasilimali Nyinginezo
Ukiachilia mbali suala la ardhi, Tanzania inazo rasilimali nyingine kama vile vito na madini mbalimbali, sehemu kubwa za uvuvi, gesi ya Songo Songo n.k. Hizi ni rasilimali ambazo Kenya imekuwa ikizitizama kwa husuda kubwa. Kwa mtizamo wa Kenya in kwamba rasilimali hizi badala ya kumilikiwa na Tanzania peke yake, Kenya itapata upenyo wa kuwa na sauti na umiliki wa rasilimali hizi. Katika hili Kenya inategemea kufaidika zaidi.
Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzania


Uingiaji wa Wageni Afika Mashariki
Kenya imekuwa ikijitangaza kwamba uwanja wa ndege wa Nairobi ni "Gateway of East Afrika", hii ikiwa na maana ya "lango la kuingilia Afrika Mashariki", na inataka kuhalalisha hilo katika Shirikisho la Afrika Mashariki. Tafsiri ya hili kiuchumi ni kwamba, wageni wanaokuja Afrika Mashariki watashawishiwa kuingilia Nairobi-Kenya. Wageni wanapoingilia Nairobi ina maana asilimia kubwa ya fedha ya kigeni waliyokuja nayo wataiacha Kenya kwa njia ya kulipia kodi za viwanja vya ndege, malazi usafiri n.k. Inawezekana pia nchi za Shirikisho zikashawishiwa kuchangia fedha kukuza lango hilo kuu la kuingilia Afrika Mashariki.
Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzania

Soko la Utalii
Kama ilivyo kwa airport, sheria ya Shirikisho inahitaji vivutio vya utalii vitangazwe kwa pamoja. Hii ina maana kwamba Tanzania haitaweza kujitanganza kiutalii. Wageni wataambiwa "Njoo Afika Mashariki kupitia Nairobi Kenya uone mbuga za wanyama za Afrika Mashariki" Hii ina maana kwamba kampuni za utalii Kenya zitakuwa kwa kasi kubwa. Pesa yote ya utalii itokanayo na kodi za utalii, usafiri, malazi n.k. itabaki Kenya. Kampuni zetu za utalii Tanzania zitakufa, ajira ya watanzania kwenye sekta ya utalii itasinyaa na kufa. Sekta ya utalii itatawaliwa na wakenya, na kutokana na hulka yao ya ukabila hakuna mtanzania atakayeweza kupata ajira katika sekta hiyo.
Faida kwa Kenya, hasara kwa Tanzania


Ukuaji wa Viwanda Uchumi
Kwa mazingira yaliyokuwepo sasa hivi, Kenya imeendelea sana kwa upande wa viwanda kuliko Tanzania. Kama tunavyofahamu viwanda vinaleta msukumo mkubwa katika maendeleo. Kwa sasa hivi Tanzania ni mojawapo ya masoko makubwa ya Kenya. Mwelekeo wa Shirikisho ni kwamba, viwanda Kenya vitaendelea kukua. Hii ina maana ya kukua kwa ajira Kenya. Tanzania itakuwa ni sehemu tu ya kuzalishia malighafi na kuwa soko la Kenya. Mara nyingi wenye viwanda ndiyo wenye kupanga bei za mali ghafi, hivyo malighafi ya Tanzania itakuwa inapangiwa bei na wakenya.
Faida zaidi hapa ni kwa Kenya kuliko Tanzania

Ajira
Shirikisho litakuza ajira zaidi kwa Kenya na pia labda kwa Tanzania. Ila kama tunavyofahamu kwa Kenya, "U-Kamau", "Uluo", "Ukikuyu", "Ukamba", "U-Wagitau Waigiri" nikiwa na maana ya ukabila, umetawala fikra za wakenya. Hakuna mtanzania atakayeweza kupata ajira Kenya. Wengi mnakumbuka matukio mbali mbali ya watanzania wasomi waliowahi kushika nafasi nyeti Kenya na kurudishwa Tanzania wakiwa maiti. Ukweli ni kwamba ajira kwa mtanzania Kenya ni ndoto, haiwezekani. Sababu kubwa siyo kwamba watanzania hawana uwezo, ila ukabila umetawala sana Kenya. Wafute ukabila kwanza kabla ya Shirikisho. Na hii si kwa Kenya tu bali pia kwa majirani zetu wa Uganda, Rwanda na Burundi.
Faida zaidi hapa ni kwa Kenya kuliko Tanzania


Usalama wa Raia na mali zao Tanzania
Kwa Tanzania mbali ya kuwa na hasara za kiuchumi bali pia kama tunavyofahamu kumekuwa na matukio mengi ya vitendo vya majambazi kutoka nchi za Kenya, Rwanda na Burundi. Matukio hayo yamekuwa yakihatarisha usalama na amani hapa nchini. Matukio ya hivi karibuni ni pamoja na ujambazi wa kuvamia mabenki uliotokea katika benki za Moshi, CRDB Azikiwe Dar es Salaam, na NBC Ubungo. Uvamizi huo ulifanywa na majambazi waliokuwa wamesheheni zana za kivita kutoka Kenya. Matukio mengine ni pamoja na vitendo vya utekaji nyara magari sehemu za Kagera na Ngara. Watanzania tuwe macho na majirani wenye hulka za namna hii.

Hasara kwa Tanzania
Endapo Shirikisho litavunjika baada ya miaka ishirini ijayo nani atafaidika?
Kwa uchambuzi niliofanya hapo juu, ni wazi kwamba, malighafi za Tanzania ukiachilia mbali mazao ya mashambani zitakuwa zimekwisha, viwanda nchini Kenya viatkuwa vimekuwa sana na ajira nyingi zitakuwepo Kenya, Tanzania itabaki kuwa soko tegemezi kwa Kenya.
Faida kwa Kenya hasara kwa Tanzania


Faida kwa Tanzania
Naomba kwa wale watanzania wenye uelewa zaidi watufahamishe faida za shirikisho kwa Tanzania kwa maana mimi binafsi sizioni.

Ombi kwa Gitau Waigiri na Kamau
Hawa niliotaja hapa ni wachangiaji wa mada hii ambao wametumia kejeli kubwa kudhalilisha watanzaia pamoja na viongozi wao. Natumaini kwamba wachangiaji hawa pamoja na wakenya wengine wamekuwa wakifuatilia mada hii kwa karibu. Naomba watufahamishe Tanzania itafaidika vipi katika Shirikisho wakiainisha kipengele kwa kipengele kama nilivyoainisha hapo juu

Ombi kwa Idara ya Uhamiaji Tanzania
Kumekuwa na wakenya ambao wameweza kujipenyeza kwenye soko la ajira Tanzania. Tunaomba, kabla maofisa wa uhamiaji hawajaanza kuwajibika katika wakati huu wa uwajibikaji wachunguze kwa makini hizo ajira, na kuona kama kuna umuhimu wa wakenya hao kuchukua nafasi hizo ambazo zinapunguza ajira kwa watanzania.


Ombi kwa watanzania
Tutafute namna ya kukuza elimu Tanzania, tuwekeze katika elimu ili tuweze kumiliki na kuendeleza rasilimali zetu. Tupige vita kwa moyo wote ufisadi na rushwa, kwani hivi ndivyo vikwazo vikubwa vya maendeleo, popote duniani. Athari za rushwa kwetu Tanzania tumeziona katika chaguzi za viongozi, zimesababisha kupata viongozi wasiokuwa sahihi, wizi mkubwa, mikataba mibovu, nk. hivi vyote vimeligharimu taifa na kudumaza maendeleo. Tupige vita ukabila na tuukumbatie umoja wetu. Tufanye kazi kwa bidii kubwa ili kukuza uchumi.


Mdau Bongo

© Michuzi | Saturday, December 06, 2008






SOURCE
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/12/mchango-wa-mdau-kuhusu-jumuiya-ya.html
 
Thanks Lazy dog, atleast saa hizi I can read what the douche bag had copy pasted earlier on, lakini huoni hii yote propaganda? The most controversial clause in this issue is land, of which as am gathering, will be ironed out pretty soon.
 
Japo hilo bandiko bado sijalisoma, unaweza kufuatilia maoni ya wadau walivyochangia hoja kwenye hiyo link ya mwisho hapo chini.
 
Bump


http://www.theeastafrican.co.ke/news/-/2558/667656/-/item/0/-/m7pbr7/-/index.html

I will like to know what exactly the common market protocol entails. There is a possibility that once again the Tanzanian political setup has just sold its populace another dummy.
 


I say boooo!!!! so much vitriol...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…