Are you a man aged 33-40??

kaaz kweli kweli hahahah
 
Nina vigezo vyote, ila wewe ndo umechepuka. I dont even dream of drinking lol. Ukinywa mbele yangu ile harufu ya pombe lazima nishushie panadol.

Pm
 
Nina vigezo vyote, ila wewe ndo umechepuka. I dont even dream of drinking lol. Ukinywa mbele yangu ile harufu ya pombe lazima nishushie panadol.

Pm
usijali utampata asiyekunywa
 
All the best mumie, just be careful na hii mitandao kupembua wakweli na walaghai!..nimependa ulivyojielezea, unajiamini ipasavyo!!..
umesema kweli Mamii, tatizo sisi wafanyakazi makampuni binafsi tunakuwa busy sana to the extent huwezi kukutana na hawa watu kirahisi rahisi na pia huko kazini tunakuwa na muonekano wa userious wa kazi mpaka watu wanadhani huna muda na hayo mambo na pia kwangu mimi siwezi date mtu ninayefanya nae kazi sijui kwa nini, ndio maana naona hapa jamii forums ni changamsha akili you never know.
 

If you are serious at all.....kwenye blue....unatafuta maumivu mapya......

Mie vigezo vyooote ninavyo isipokuwa kwenye RED......may be sijui maana ya kubembeleza lakini nipo strict hadi sometimes najihurumia....
 
.Borro he! he! he! we kaka umetumwa? mbona una harsh language hivyo? kama we huwezi kutumia used, wapo wenzio wenye utu tena wanakuzidi kila idara ambao they realy adore used! utakuwa ni mtu very low with no manners kuweza kumtamkia mwanamke hivi, hebu kajifunze kwanza! pathetic
 
Ungeweka picha yako ingependeza sana. I qualify by 89%, according to your writings.
 
Nimetimiza vigezo vyooooote, ila mi ni mfuasi wa MUAMSHO. Sasa sijui unaniambiaje hapo destiny1
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tatizo liko wapi kwa yy kuelezea suala lake..hata humu mbona wanapatikana tu.

Mwanaume anapatikana sokoni? You can't be serious. Ukimwambia mtu unataka mtu mnyenyekevu nini atafanya zaidi ya kuigiza unyenyekevu?

Mambo ya mitandao haya mtakuja kulia one day. Unampata mwenza kupitia humu, halafu unakuja kugundua ana mahusiano na wasanii wenzake humu humu na kwa kuwa ni mchezo, hata kama alidhamiria kutulia siku pakitokea tatizo dogo tu, tayari yeye atakurupuka kuja kutafuta kitulizo humu.

Mapenzi sio mchezo huu mnaocheza hapa, sijui ni umri au balehe zinawasumbua!
 

Bora waliozalia chooni eeee.....ungejuwa!!
 

You are criticizing yourself. Kuja hapa kujinadi kwa mwanamke ni dhalili kwangu au kwako? HAWAKUTAKI, si ndio?

Kunishangaa kwako kuwa nimefuata nini kwenye jukwaa kutaishia kwa mimi kukuelewesha kuwa ni jukwaa huru. This is not meant for me or for Christians?

Ona ulivyokuwa mkali, sina haja ya kuuliza kwa nini uliyezaa naye hakukuoa, sababu zipo wazi. Kila la heri mama, weka tangazo na gazetini
 
ahsante ila na mimi utabidi unipe window period ya kuacha fegi
 
destiny1 unaweza angalia vizuri vigezo vyako, katika analysis aliyofanya Cool Gentleman naona mnamatch more than 90%. Age is just a number bwana, I request you to reconsider.
 
Last edited by a moderator:

Sio wenye UTU, wenye UBUTU. Mwanaume anayekimbilia WAJANE si utu unaomuongoza bali ni UBUTU wa kukwea vitoto brand new. Kujinadi mitandaoni ni more harsh than these Borro words

Pathetic fools are those who can not afford brand new items and rush for the used ones with a lot of excuses, UTU among those


And, NUNGAYEMBEs are those who ...... without telling us how they failed in their previous relationships.

Wekeni picha zenu tuchague, hata mimi nataka kipoozeo, you know sometimes classic vehicles tends to be more classy than royal palanquins
 
Last edited by a moderator:
good*will*hunting... unfortunately tunao-meet vigezo tayari tumeshakuwa committed. Truly, u have a challenge ahead of u.. manake wanaume wengi wa umri huo tunakuwa tayari tumeshawekeza --either kwa ndoa, au uchumba....
unless ukutane na akina "bado nipo nipo tu" kama anavyochana Mwana FA kwenye mistari yake. all in all, i wishi u the best of luck
 

I hate this hakyanani., nani kawaambia Mapenzi(matured) ipo kwenye miaka ya 30s? Kila siku ni above 30, so how about sisi tulio under hiyo age? Aaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrggggg, mnabore sana asee, na nakuombea asipatikane wa hiyo limit uliyoweka.., Khaaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…