Are you interested in fish farming?

Are you interested in fish farming?

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
746
Reaction score
655
Tanzania imejaliwa vyanzo mbalimbali vya rasilimali moja wapo ni mito.maziwa na bahari. lakini kwa sasa changamoto mbalimbali ikiwemo uvuvi haramu,mabadiliko ya tabififa ya nchi na ongezeko la watu,mazao ya samaki toka kwenye vyanzo vya asili vimepungua na takwimu zinaonesha muda sio mrefu ufugaji wa samaki utakua njia pekee ya kupata samaki kwa uraisi. kwa kuanzia unaweza kifuga sato au pelege au kambale.na ukapata faida kiuchumi. kama una uhitaji wa mtaalamu wa ufugaji wa samaki kwa ajili ya kusimamia pond zako.basi umepata unaweza kuwasiliana na mimi kwa 0717451771.kwa garama nafuu na hauta jutia. only serius patners are invited.thanks and welcome
 
I have been interested with fish farming
And I have been learning about it
But I am still researching
I will contact you after starting building the ponds
 
Back
Top Bottom