[emoji15] are you cartoon?Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No! Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako….. mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!
♀
I can see you have a sukuma name[emoji57]Kienzi kiswahili kizungu hakikawii kukuaibisha aisee..!!!
KINGEREZA CHA OVYO, ANAYEJUA KIINGEREZA HAWEZI KUSEMA HIVYO. UMEBUNI KICHEKESHO TU LAKINI SIKUCHEKA.Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No! Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako….. mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!
♀
Sasa hapo kuna ubunifu gani?ubunifu ndio tunao utaka hapa, we vp bhana, huyo jamaa kajitahidi kubuni japo huenda lugha kachanganya kidogo
Honey faith 'are you relax'?"Are you relax" mhhhhh hao wazungu nao ni shidaaaa
Yes I am relax ila usinipige kofi[emoji1] [emoji124]Honey faith 'are you relax'?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]