Are You Single?" "No, I'm Plural." "No, I mean, are you free this friday?" "No, I"m expensive

Are You Single?" "No, I'm Plural." "No, I mean, are you free this friday?" "No, I"m expensive

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
ndoa ni umoja wawageni wawili wasiofahamiana vema.kila mmoja ni kama msitu wenye vitu vyakugunduliwa polepole.ugeni huo ni chanzo cha matatizo mengi kwenye ndoa.
wengi hugunduatofauti zao baada ya kufunga ndoa.
baada ya ndoakila mmoja hushangaa kuwa anatofautiana na mwenzake. Kwa mfano,
1-mmoja amezoeakwenda kitandani saa tatu kumbe kwa mwenzake ndo muda muafaka wa kuzungumza nampenzi na kufanya mapenzi
2-mwingine amezoeakulala mapema saa moja au mbili amelala fofofo .lakini huamka saa kumi alfajirihuo ndo muda wake muafaka wa mazungumzo na mapenzi
3-mwingine akiwamgonjwa hukaa kimya,hajielezi wala kutafuta faraja kwa mtu,mwingine daah hudekana kueleza hali yake kwa kireeeefu ili atunzwe kama kifaranga cha siku moja
4-kawaida ya mmoja nikuvaa nguo za ndani wk nzima bila kubadilisha ,mwingine hubadili kila siku
5-mmoja hujifutia taulo wk nzima wakati mwenzakehajifutii taulo wiki mbili
6-mwingine hupendakula ugali usiku mwingine akila ugali usiku huota anakimbizwa na simba .
hii ni mifanomichache members ,baadhi ya mambo huweza kufurahiana ,lakini tofauti zinginehuleta maudhi na kero.
nini kifanyike iliwageni hawa waweze kuishi vizuri?
goodmoning friends
love u all
 
Tafsiri sahihi ya upendo ni,kumkubali mtu bila masharti,yaani pamoja na tabia zake bila kukereka nazo!Nani anaweza hii?
 
Naona mambo ya kitchen pat haya....ngoja nikusabahi tu Smile!
 
fupisha yani hujui ukitaka kumficha mwafrica weka ujumbe kwenye vitabu
huo ni udhaifu wako mkuu.
Kwa siku mimi lazima nisome makala 5 ndefu kabisa na nizitafakari na kuzielewa.
Nikiwa shule tunasema mtu wa kitabu kimoja ni mtu wa idea moja na iyo idea inaweza kuwa wrong
 
Mambo mazuri hayo .....nimependa mtu wa kitabu kimoja ni mtu wa idea moja
 
hapo namba 4 huwa ni mgogoro mkubwa. Cha msingi nikubali mwenzio jinsi alivyo au nikujitahidi kumrekebisha kama unakereka
 
Tafsiri sahihi ya upendo ni,kumkubali mtu bila masharti,yaani pamoja na tabia zake bila kukereka nazo!Nani anaweza hii?
nanndio maana hata mimi nimependa na kumubali mama Ngina pamoja na kunizalia watoto watundu na wanoko lakini mie nimo tu..............!
 
hapo lazima itabidi mmoja wa wageni hao awe mpole na kumfuata mwenzake vinginevyo vita nje nje kati ya wageni hao..
 
hapo lazima itabidi mmoja wa wageni hao awe mpole na kumfuata mwenzake vinginevyo vita nje nje kati ya wageni hao..
unadhani ni rahisi kuishi kwa kumfuata mtu?
 
Back
Top Bottom