Yeah it might be
But ngumu kupata mtu wa aina hiyo
KIKUNGU sometimes we are just blinded by some other material/outwards things that we dont see them 'girl/guy next door'
Au we are too busy that we don't stop and look; na hivyo tunawapita bila kuwanotice.
Na mwisho, maybe we have them na hatuwa-appreciate kwa kudhani wa wengine ndio vizuri; au tuna wa-take for granted. (hujui thamani ya mtu mpaka anapoondoka)
Sadly, may be some are not destined to meet those 'girls/guys next door'
I'm with you Kaunga but in this case...sometimes we dont know their value because we didn't take a chance to know them. Kuna watu wangetufaa sana kwenye maisha yetu(kuwa rafiki, mwenzi etc) lakini tuliwaignore just because of their outside impressions that we perceived