Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hakika mkuu.WC hii kwa heshima ya messi wachezaji wapo tayari kufia uwanjani
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Whaat a goal....nimemuona Mwamba Sebastian Veron.
Whaat a goal....nimemuona Mwamba Sebastian Veron.
WC hii kwa heshima ya messi wachezaji wapo tayari kufia uwanjani
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii WCMagoli ya Messi dhidi ya Jamaica leo hii, moja la free kick
Franklin1902
computerarsenal
mkorea
GIRITA
Oyaah jamaa WC hii watafia uwanjan.. Na team ina umoja sana.. Tunaomba tu tusipate injury mwez m1 huu na ki2.. Mtu mwngne wa muhm msimu huu atakuwepo ni kama Angel kwny mafanikio ya [emoji1033] ni Di MariaMagoli ya Messi dhidi ya Jamaica leo hii, moja la free kick
Franklin1902
computerarsenal
mkorea
GIRITA
Mimi uwa naamin wazi kbs kama Di Maria angekuwepo kwny zile final Argentina ilizo poteza za Copa America na WORLD CUP bas [emoji1033] ingekua na WC na Copa America walau 3..yan wakina Higuain walikua mafala sana bas tu.. Yan nikikumbukaga Final ile ya WC 2014 Higuain anakosa chance after chance za kumaliza game namchukia sana bas tu.. Yy ndo alifanya had ss Messi hana WC.. Sema msimu huu tunapambania had tubebe.Oyaah jamaa WC hii watafia uwanjan.. Na team ina umoja sana.. Tunaomba tu tusipate injury mwez m1 huu na ki2.. Mtu mwngne wa muhm msimu huu atakuwepo ni kama Angel kwny mafanikio ya [emoji1033] ni Di Maria
Oyaah jamaa WC hii watafia uwanjan.. Na team ina umoja sana.. Tunaomba tu tusipate injury mwez m1 huu na ki2.. Mtu mwngne wa muhm msimu huu atakuwepo ni kama Angel kwny mafanikio ya [emoji1033] ni Di Maria
Kbs kikosi ni kzr anakaz sana kuchagua 1st 11 yake.. Sema tutaupiga mwingi.Yah Di Maria, Rodrigo de paul, Lo celso n.k, huyu de paul anacheza nafasi zaidi ya moja [emoji28] mid fielders kwakweli ni wengi mno, mafoward pia ni wengi, defender's ni wengi, Lionel Scaloni ana kazi, sijui ataanza na nani[emoji28]
Cry more[emoji23]Hii timu siipendi sana natamani watoke makundi WC Qatar.
Hii timu siipendi sana natamani watoke makundi WC Qatar.