Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Ni kawaida, kama ambavyo european teams wakina spain, Portugal, italy, france wakikutana na Macedonia, malta, Luxembourg n.k!

Italy wame rotate squad walipocheza na Malta na ilikua ni qualifying game kabisa, Kwanini Argentina wanakwenda ni kikosi kamili mchezo wa kirafiki na Panama?
 
Italy wame rotate squad walipocheza na Malta na ilikua ni qualifying game kabisa, Kwanini Argentina wanakwenda ni kikosi kamili mchezo wa kirafiki na Panama?

Kwani kuna shida gani! Ikiwa je!mashabiki wa Argentina na timu pinzani wanatamani labda kumuona na kumshuhudia Messi na wenzie wakisakata ball! Sioni shida,

Hebu fuatilia za jana na kabla yake utakutana na timu kubwa zimecheza, Fuatilia Germany na belgium utakutana na wachezaji wa aina gani! Morocco na brazil ingia uone wachezaji waliocheza hiyo game
 

hizo Germany na Belgium Morocco Brazil ni mechi baina ya timu kubwa, Hivi hata Panama hamuna huruma nao? Dah
 
hizo Germany na Belgium Morocco Brazil ni mechi baina ya timu kubwa, Hivi hata Panama hamuna huruma nao? Dah

Hiyo ni enjoy kwa mashabiki kote duniani, sasa asipocheza yeye na big players wenzie tutaenjoy vipi sheikh😄
 
Hiyo ni enjoy kwa mashabiki kote duniani, sasa asipocheza yeye na big players wenzie tutaenjoy vipi sheikh😄

hapana jengine zaidi ya uroho wa kufunga magoli, Mulikua mukimu attack Ronaldo kwa kuwa na usongo wa kucheza na timu ndogo kwa tamaa ya Magoli ila kwa muda sasa imegeuka kuwa same story pande zote.
 
hapana jengine zaidi ya uroho wa kufunga magoli, Mulikua mukimu attack Ronaldo kwa kuwa na usongo wa kucheza na timu ndogo kwa tamaa ya Magoli ila kwa muda sasa imegeuka kuwa same story pande zote.

Hakuna cha same story, Messi ni mtafutaji na mtengenezaji na pia ni msaada wa magoli na timu kwa ujumla, na vile vile pozesheni wanazocheza ni tofauti, Messi anaanzia nyuma na ronaldo mbele anasubiri mipira ya kutengewa, au sivyo mkuu?? Au nimekosea??


Nafasi anayocheza Messi kwa ronaldo asingeweza kumiliki ball na hata kufikisha idadi hiyo ya magoli, Messi is the greatest Footballer ever, na hajawahi kutokea like him katika soka
 

Mahaba ni maradhi mazito sana
 
Italy wame rotate squad walipocheza na Malta na ilikua ni qualifying game kabisa, Kwanini Argentina wanakwenda ni kikosi kamili mchezo wa kirafiki na Panama?

Watu wapo serious na mechi wewe unataka bonanza.

Zifuatr hizo timu nyingine sio lazima hii ya Argentina.
 
Copa America 2024

Ufunguzi
Argentina 2-0 Canada, FT

⚽️Alvarez, Assist by Alexis Mac Allister
⚽️Lautaro Martinez, Assist by Messi
 
Copa America 2024

Argentina 1-0 Chile, FT

Lautaro Martinez ⚽️

Ball Possession
Argentina 61%
Chile 39%

Argentina 6Pts
Canada 3Pts
Chile 1Pts
Peru 1Pts
 
hii timu imekuwa ya ovyo sana, kuanzia wachezaji mpaka mashabiki wake
 
30 june 2024

Copa America,
⚽️Lautaro Martinez
⚽️ Lautaro Martinez

FT
 
04 june 2024

Copa America

Match ends Argentina 1(4) Ecuador 1(2)

💪🏽💪🏽💪🏽
 
Argentina 🇦🇷 × Canada 🇨🇦

Kila la heri 🇦🇷 💪🏽💪🏽💪🏽
 
Copa Amerika
Argentina 2-0 Canada
FT
Wafungaji ni Alvarez na Messi
 
Tunamsubiri Colombia or Uruguay, final

Vamos 🇦🇷
 
Copa America, final
Arg and colombia, on monday 3:00 alfajir


🇦🇷💪🏽💪🏽💪🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…