luisao on 24th minute and two goals from luis fabiano 29th and 67th minute were enough to quiten argentines and diego maradona.
argentina got their goal on 65th minute through datollo
ni maumivu kwetu wapenzi wa argentina na wapenzi wa diego maradona, kweli unaweza kuwa mchezaji bora kabisa kupata kutokea duniani lakini ukashindwa kabisa kuwa kocha.
ni bora diego maradona ajiuzulu tu