myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sanaaaa....Hii ni bahati tu ya mpira ila Senegal walijitahidi sana
Nilishakwambia hamna timu ya africa wanafika quarter kakaWaafrica tutatoboa kweli
Kikosi chembamba,Abdul Diallo na Chiku Kuyoute walipoumia timu iliyumbaHalafu eti tunataka tuongezewe team wawakilishi africa , aibu tupu.
Kama sio Senegal au Ghana, basi nyingine sizioni.Sema Senegal tumempa sana hype lkn utashangaa team ambayo hatutegemei ya Africa ndo inaweza kwenda round of 16.
Hawaamini kivipi wakati wameshinda 2 bilaWaliobet over 1.5 naona hawaamini lazima wakeshe bar leo
Ecuador ana watu sio wa hovyo hovyo.Hapa tuna apply probability
Niliwaona ni wa motoooEcuador ana watu sio wa hovyo hovyo.
Karibu mrembo kwa mabingwa watetezi wa klabu bingwa ya dunia [emoji28]Niende uzi wa chesii sasa nikasome lawama
HahaMendy nyokooo wee 🤣🥲🥲
Ahahahaha mkuu hapa unawasema Sege-girlUsimdhamini masai, muda wowote anaweza kukuachia shuka we ukajua kuna mtu kumbe shuka tu, mwenyewe alishasepa kitambo
Yeah Ghana mechi yao ya kirafiki juzi p1 ilikua friendly kdg wamefny niwape lbd percent ndg sn wanaweza toboa.Kama sio Senegal au Ghana, basi nyingine sizioni.
Waafrica bado dhambi zetu za kubaguana,kuuwana,kutesana,rushwa,chuki,ubinafsi zinatuhukumu mpaka kwenye michezo.Ft waafrika wamepigwa 2 kwa 0