[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Raha sana [emoji1787]
Kazeni mguu.Kwani sie wamorocco tumewakosea nini wamatumbi [emoji3064] mbona mnatuombea dua mbaya hamtaki tuwe washindi wa tatu si tulishaelewana yakaisha.
Kumbe wamatumbi mna gubu hivi
Hicho ndio kisingizio chao, eti sijui minara ya Camera huko, Mechi itaanza 1:30.Mwamposa amechelewesha vipi wakati chako ni chako alimaliza asubuhi na mapema!
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wajameni tuweni pamoja tu kwenye hili baada ya hapo sie tutarudi zetu kuomba kujiunga EU. Tunajua mna mizimu mikali enyi wamatumbi mtusaidie.Kazeni mguu.
Si tulikubaliana maombi yetu hayatabadili lolote kwenu[emoji2]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Walisema sisi wamatumbi si lolote[emoji2]Wajameni tuweni pamoja tu kwenye hili baada ya hapo sie tutarudi zetu kuomba kujiunga EU. Tunajua mna mizimu mikali enyi wamatumbi mtusaidie.
Wasimuonee Mwamposa bure.Hicho ndio kisingizio chao, eti sijui minara ya Camera huko, Mechi itaanza 1:30.
Enz hizo BayernNimemkumbuka Ivica Olic
Yule ndo kaipambania Morocco kuliko huyo hakimi
Wametutolea brazil, tungekua na bonge la fainaly kama wangepitaIla Croatia ni wadwanzi sana
Sasa kama Brazil walikuwa wabovu, hauwezi lazimisha matokeoWametutolea brazil, tungekua na bonge la fainaly kama wangepita