Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
(Uchokozi tu)Sidhani kama umewahi kuwaona Argentina wakicheza. Ni timu bora zaidi kwa sasa hapa duniani na haimtegemei mchezaji mmoja.
Basi cross zitapigwa halafu hiyo tabu hawatopata[emoji28]Bila cross kwa giroud watapata tabu sana kuwafunga argentina
Ngoja tusubiri maana jamaa wafupi ila wanakaba kama vibwengo usiku
Fanatics wa football mnawendawazimu,husomi kuelewa,kutafakari na kuchanganua..unakurupuka tu,mithili ya mla kuberi, au benjamin wa hiphop mdundiko...Wacha upumbavu wako maramoja.Tukulize wew bahati ndio kitu Gani kocha kaenda final ya euro 2016 pale France kaenda kubeba kombe la Dunia 2018 pale Russia kaenda final ya kombe la Dunia mwaka 2022 wew unatuleta utopolo wako apa twambie wew awo makocha wako wasio na bahati ila wanauwezo wamebeba kitu Gani
Huyu kocha hakuna kitu humoDidie deschamps kocha mwenye uwezo mdogo na bahati,uglyfootball...Ufaransa inakizazi cha wachezaji wenye vipaji na wazuri.
Dah sijawahi kuusikia kabisa"We are the dreamers"
ARGENTINA watafungwa vibaya sana leo.
Wale wazee wa kubeti wekeni hata milioni Ufaransa anachukua kombe saa nne asubuhi.
Kutokana na WC yenyew vibe lake sio kama ya 2018 au 2014 enz za kina shakiraDah sijawahi kuusikia kabisa
Ktk team inayoongoza kumtegemea mtu mmoja arPENtina ya kwanza,kila kitu PESSISidhani kama umewahi kuwaona Argentina wakicheza. Ni timu bora zaidi kwa sasa hapa duniani na haimtegemei mchezaji mmoja.
Rabiot na konate wanaumwa[emoji852][emoji852][emoji24][emoji24]🥲🥲View attachment 2450758
Achaa ww jamaa amebackdate ndio akapost.....!! Kama nu utabir angetabil mwaka tu.....usipumbazwe hata ww waweza kufanya hivyoKuna mwamba alitabiri mesi kuchukua kombe la dunia leo.. jamaa alitabiri 7 years ago.. 2015... hii imeshangaza wengi alijuaje tarehe ya fainali tokea mwaka huo 2015..
View attachment 2450648
Leo kuna uwezekano mkubwa wapewe penalty ya mchongoKtk team inayoongoza kumtegemea mtu mmoja arPENtina ya kwanza,kila kitu PESSI
Hicho kidubwana kikidonoa bendera mjue kuna msiba kwenu......So wabaguz wa rang leo wanalia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2450682
Vingi ni vitoto vya shule vipi likizoAnaesema Deschamps anauwezo mdogo basi, ukajitafakari.....
Nilikuwa nakutafuta nikupashe habari nimeota tena juzi. Ufaransa kabeba kombe.Ninasikia hata Ghana wanatoa hela ili uitwe timu ya Taifa.Cameroun pia hata safari hii kuna
Tumekusikia. Mbappe nae ule upande atatupa penalt.
Les chèvres sont le souper du verane 😂😂Kwa nn mkuu
Hivi Varane ataeza kumkaba mbuzi?
Yap,Gareth southgate ni moja yangu ya list ya average coach wenye timu nzuri zenye vipaji vingi na vikubwa...Fernando santos- ex-Portugal, Hayo manne-average coach anaweza kubebwa na bahati,vipaji wachezaji na ugly football(Park the bus,counter attack ya kinyonge) na haswa katika cup competition...Katika hayo manne
Nimechukua moja la average coach mkuu
Ukitaka mfano wa average coach mchukue kocha wa England...Southgatey