Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Huwez toa lipenati la kipumbavu kama HiloNdo ukweli huo
Yaani saa hii ingekuwa mbili moja, hao fifa hawafai kabisa Ila wamatumbi hawana utani leoYani Ile penati imenifanya nione FIFA na shirikisho la kipumbavu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Auntie nakutegemea kwenye kutupia picha umeanza vizuri ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahNiko kwenye maombi mkuu. Niache kwanza . Nitarudi hapa baada ya ushindj
Shida ilianzia hapalimeingia baunsa flani hivi kijeba, kidogo lichomeshe. Di maria alikuwa anawatisha mabeki wanaogopa kupanda
Kabisa aiseeWadau hii mechi Ni ngumu kinyama.Atakayeshinda na ashinde tu basi
Muache mmatumbi wa ulaya banaKocha alikua fala sana kumuanzisha Dembele. Yule mtoto simkubali kabisa.
Leo hana chake kiatu ni cha mpappeKwa penalty tu yuko vyema kwa kweli
Penati 5 kapata 4 kakosa 1
The GOAT
Baada ya hapa siangalii tena mpira narudi kwenye muvi. Hakuna maumivu huko
Haka ka ndege kakikosea na leo katafunwe kaliwe na na pili pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2450682
KwendraaaaqHunijibu mbona, niko mbali na screen mkuu[emoji3]
Aiseee ila wewe unahama hama baki na NeymaMbappe ana mapaja soft
[emoji2960]
Sawa wewe cheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu sna yule kochaArgentina wamekosea sn kumtoa di maria, alikua n kila kitu leo. Hpo ndo wamewapa nfs france, ikitokea wamefungwa leo wamlaumu kocha na sub zake