Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nakusalimia pia nakupongeza kwa ushindi, hakika haikuwa kazi nyepesi
 
Ila Argentina was my sec nilisema ikishindwa Brazil nashuka nakuja hapa jirani toka mwanzonii...any way we are happy for Messi.
Asee basi ww kwny party had ss tumekujumlisha kama bingwa wa dunia MWENZETU na kwl comment zako nilikua naziona ulituunga mkono.

Ww huwez kukosa jina lako kesh napeleka mapema utakuwepo... Sema details za party utatumiwa na ziwe confidential maana party ni highly Classified for THE NEWWWWWWW REIGNING WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]


VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
hahahaha nikikumbuka sina hamuuuuuuuuuuuuuuuu
maana mtaani kila mtu alikuwa argentina ila nikija jf dahhhhh kuna vimeo hatareeee nlikuwa nauguaaa...................wahi mate tuwakereeeeeeee
 

[emoji28][emoji28][emoji28] spanish ni lugha yangu pendwa mnoo kuliko hata swahili
 
Kaka ilo umemaliza naona ww sasa ndo umeliweka vzr zaid..

Yan muArgentina yoyote Ukikosa tusi la kumtukana mtu.

We andika tu VAMOOOOOOOOOOOOOS[emoji1033] ilo linamtosha.

Mkuu asee imekaa poa na wazo lako limepita bila kupingwa[emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Balaaaaa zitoooooooo 😀😀😀😀😀
 
huyu Kalpana mzungu sana hana mbambamba
Kwnz nilichomkubal haongei mpr kama anaongea stry za vijiweni anaongea anabakisha maneno na anaongea mpr pure sio unakuta Takataka inaongea mpr kama mechi imechezwa tyr.

Huyu naona tumekubaliana awepo kwa heshima ya fair play.

Vamoooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
 
awepoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Dingi amenipigia simu after game bila hata ya salamu[emoji28][emoji28] “Son, we did it kesho uje na ndugu zako nyumbani tutafanya party kidogo”

Huyu dingi maradona ukiunganisha mtoto Messi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
dahhh hongereniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
jiachieni
maana tunatawala dunia kwa miaka 4 kimpira
 
Balaaaaa zitoooooooo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ww utakuwepo asee bila ww binafs party haitaanza kwa heshima yako ya fair play uliyo onesha na kuongea kwako mpr kwa kubakisha maneno.. You deserve a place in the table where the the NEWWWWWWW reigning WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE will be partying.

Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
ni mdada anaonekana ana busara zakeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…