Umeme au?Tumekosa uhondo wa game hii ya saa 1
Sasa leo wameonesha ipi? Au wa saa 4TBC hawana kibari cha kuonyesha game zote. Kwa siku wanaonesha 1 au 2 hivi.
Nani unampa nafasi ya kuibuka na ushindi mechi hii?Stadium 974 ndio uwanja unaotumika mechi ya leo kati ya Mexico Vs Poland.
Ikumbukwe uwanja huu umejengwa kwa makontena 974
Check hapa mkuu. Zilizoandikwa FTA ndio TBC wanaruhusiwa kuonesha.Sasa leo wameonesha ipi?
Yaaani man of all matchesWorld Cup ya mwaka huu Best Player ni TANESCO...
Sare kijoraNani unampa nafasi ya kuibuka na ushindi mechi hii?
aya bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Si kwa ubaya
Me si naona shangwe la kiarabuu
Nimecheka Kwa nguvu hadi majirani wamenishangaa[emoji3]Tanesco hanaga kazi mbovu. Ila kwa pira hili waubebe tu..natumai saa nne utakuwa umerudi
Tayari, Januari kashafanya yake
Umetisha mkuu
Hadi kwetuTanesco kafakisha
Senegal walishangiliwa sana? Na iran niliona tu wanatukanana jana kwa kuoneshana vidole vya kati wenyewe kwa wenyewe hakukuwa na amsha amsha yoyote.Hii world cup ya Qatar timu za kiislamu zinashangiliwaaaaaaa sanaaaa huko uwanjani kuliko team za kizungu. Is like Islam vs white culture Sasa ngoja mzungu aingie fainali watajua hawajui.
🤣🤣🤣🤣
Sisi tumeshinda bila umeme zamu yenu sasa,Tayari, Januari kashafanya yake
Wachezaji wako rigidTimu za africa sijui magoli watayapata wapi
Sisi tumeshinda bila umeme zamu yenu sasa,