Mpira haramu😀Imechanwaaa misamba 🤸
Hamna Ndoige hapa. Utaona tutakavyokiwashaBaki njia kuu
Ukipigwa ndoige nitakubembeleza 🤣
Pamoja sanaa MkuuUmecheza kama Pele mzee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe ni Mimi Kabisaa!Mimi ni team France. Na team zote zitakazocheza against Brazil na Argentina.
Sasa unaiandikaje kwenye kusearch App maana ilo jina.View attachment 2425215
ya kwanza hapo juu mkuu ipo vizuri muda wa gemu unaenda kwenye live event pemben unakuta gemu ipo inakungojea
tilfizyun yasin tvSasa unaiandikaje kwenye kusearch App maana ilo jina.
Copy pale mwamba alivyoandoka halafu nenda playstore uka pasteSasa unaiandikaje kwenye kusearch App maana ilo jina.
nije nikiwa nekid au?
muda wa gemu nenda hapo kwenye live events