Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

mashindano ya kipindi hiki imekuwa shida sana kuyaona.
TBC ambacho ndio chombo pekee hapa nchini kinapaswa kionyeshe mechi angalau 2 au 3, sio kama wanavyo fanya hivi sasa, yaani utadhani hakuna mashindano ya kombe la dunia.
 
Kwaiyo ujeremani nae kawa mgawa point kwa kina kumamoto Na yamaguchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…