Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hii sikuangalia nilibanwa kazi. Ila nimeona Matokeo. Ninawasubiri Brasil wapelekewe moto na Sebia kesho.

Ila wao yalikuwa kwa penalt.
Sebia sio wabaya wale wana jamaa wao mmoja serje milinkovic savic hatari anacheza lazio ni mdeadly joooo!!!!

Wajapan walizingua first half wanapaki bus ila moto wa kipindi cha pili mjerumani alikuwa anaomba maji. Kipindi cha pili wamepiga ball kama lile la 2018 mechi yao dhidi ya belgium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…