Tutasapoti waafrika wenzetu lakini ili kujiepusha na sonona tutakuwa na back up zetu za nguvu πππsioni timu yoyote ya Africa ikitoboa robo fainal
Cc: Moderator Maxence Melo JamiiForums tunaomba uzi uwe sticky na kitufe chekundu cha live kwa muda wote wa mashindanoGreatest Of All Time inabidi uzi wetu ukae sticky hapo juu Sasa...
Tutasapoti waafrika wenzetu lakini ili kujiepusha na sonona tutakuwa na back up zetu za nguvu [emoji23][emoji23][emoji23]
Za kwangu ni hizi
Argentina
Netherlands
Brazil
Kote huku nitakosa kombe kweli?
Kombe la dunia lina raha yake πππTimu yangu Iran naona amuizungumzi kabsa siku tukianza kukiwasha ndio mtajua Amjui .
Ureno wanatujua vizuri alfu tupo Group moja na maharamia USA na England apo lazma kiwake
Mkuu ukiweza weka ile picha ya Senegal fans wakitua hukoKwa usafiri wa mabasi kwa timu zote shiriki, watakuwa wanatumia mabasi ya Hyundai na wakimaliza mashindano wataruhusiwa kurudi nayo nyumbani
Iran na USA ndio kitawaka USA atoboi tuko apa natabiri iyo mechi kadi nyekundu lazma zitembeKombe la dunia lina raha yake [emoji16][emoji16][emoji16]