BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Well saidWatu humu ndani mnakosea sana mnanaangalia hizi match za round ya kwanza tu, mpaka sasa bado Sijaona timu ya kuipa matumaini ya kuchukua WC. Timu nyingi kubwa zimekutana na vibonde jana portugal kabebwa nje nje goli zote 3 zina walakini.
Tusubir round ya 16 hapa kidogo tutapata mwanga kuna timu zimefungwa kama Argentina na Germany lakini ni mapema sana anything can happen kwenye soka na kuanza vibaya sio kumaliza vibaya na kuanza vizuri sio kumaliza vizuri tuendelee kutizama soka.
Apaki basi vipi wakati alikuwa ameshafungwa ?Wales wamefungwa kwa sababu ya kutokuwa na nidhamu ya ulinzi shirikishi. Wao baada ya kuwa pungufu walitakiwa kupaki mabasi na makonteina halafu wanajifanya kucheza opne game
Na upinde leo ulionekana uwanjani kabla ya mechi unalizungumziaje hili?Mimi nafurahia kila hizi team zenye kupigania mashoga kutupisha tu bado Germany afungwe na Spain waondoke zao na England watakutana na dawa yao kwa sasa tuwaache na kelele zao kwa muda.
Leo kashindwa kujiangusha kutafuta penaltiWales ilipora nafasi ya ukraine nilichukia sana alivyoshangilia bale
Tatizo la Tina na Many wamefungwa na vibonde ambao ndio walitakiwa wapatie point humoWatu humu ndani mnakosea sana mnanaangalia hizi match za round ya kwanza tu, mpaka sasa bado Sijaona timu ya kuipa matumaini ya kuchukua WC. Timu nyingi kubwa zimekutana na vibonde jana portugal kabebwa nje nje goli zote 3 zina walakini.
Tusubir round ya 16 hapa kidogo tutapata mwanga kuna timu zimefungwa kama Argentina na Germany lakini ni mapema sana anything can happen kwenye soka na kuanza vibaya sio kumaliza vibaya na kuanza vizuri sio kumaliza vizuri tuendelee kutizama soka.
Upinde ndio nini? mimi wala sikuangalia game sababu siangalii game zote na sina muda kuangalia game kama Wales hakuna quality natizama matokeo tu basiNa upinde leo ulionekana uwanjani kabla ya mechi unalizungumziaje hili?
Kweli kabisa.Yule wa Ureno alikua mhuni kbs Yan akakataa kata kata kwnd kuangalia.. Yan vitu vingne vinaleta sana waswas ya rushwa kbs.
Alipotolewa kipa ilikuwa 0-0, wao baada ya kipa kutolewa waliendelea kupanuka golini, angalia magoli yote walivyofungwa
Uzuri soccer mambo yote hadharani. Nani alitarajia France wangeshinda 2018 ? Ila ikute Saud Arabia wakashinda world cup 2022.Who knows ????Who will win the WC 2022?
Source goal.com
- 69,459 Brazil
- 61,602 Argentina
- 19,582 France
- 68,346 Other
Leo timu yangu ya Qatar inatupa karata ya Pili katika Fainali ya Kombe la Dunia.
Mungu ibariki Qatar Leo hii tuweze Kushinda[emoji120]
( _ Carrasco putin MSEMAJI WA QATAR na Iran _ )[emoji460]
Hiyo ni Forbiden Win!!Uzuri soccer mambo yote hadharani. Nani alitarajia France wangeshinda 2018 ? Ila ikute Saud Arabia wakashinda world cup 2022.Who knows ????
Tatizo Iran hana mpira wa kuendelea mbeleSasa iran tunamtaka kiongozi wa Rainbow US tutampiga mpka watuwekee vikwazo TEAM IRAN [emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji1130][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]