Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Km wewe una sapot timu za usekweni africa

Mwombe ekuadoo ashinde ili afuzu leo ili mechi yao ya mwisho dhidi ya simba wa Terenga wasikaze kwasababu watakuwa tayari wamefika

Km unavyojua wadutch tunaliza na kibonde katar
Oooh kumbe
 
Nimesoma sehemu kuwa kwenye haya mashindano wameanza kutumia technolojia ya AI kwenye offside kama inavyotumika kwenye Goal recognition. Technolojia hii ina software maalumu inayoweza kutambua mwili wa mchezaji na kulinganisha na miili ya oponents na kuamua kuwa mchezaji yuko onside au offside. Ndio maana kwenye offside sasa hivi VAR haitumiki
So hata jana AI ndio ilitumika kwa yale magoli ya Portugal thidi ya Ghana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…