Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Duuuhh, sikujua kama hili group A lipo hivi.

Nilidhani Qatar ni kitonga na Uholanzi niliidhania vibaya baada ya kuiotea Senegal.

Dua zetu za kumuombea Ecuador njaa zimegonga mwamba, sasa itakuaje?

Tusubiri lolote kutokea baina ya Ecuador na Senegal
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Iran wabaya sana us kashachezea kwa Iran tena huko huko kwao US 94 hyo
Sasa kumbe rekodi ya mwisho ni 94

Hiyo ndio ilikuwa ni miaka ya mwishoni mwishoni kwa vibonde wote kupata mazari

Fatilia vizuri utagundua hadi Yanga katikati ya miaka hiyo walienda group stage ya Club bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…