Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
The Hand of God now belongs to me," Luis Suarez declared after Uruguay's quarter-final win over Senegal in 2010. "I made the best save of the tournament."
Brnzema kaumia lini kwani?Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps amesema hatomuita mchezaji yoyote kuziba nafasi ya Karim Benzema.
Atasalia na wachezaji wake wale wale hivyo hakuna nafasi kwa Anthony Martial.
Kaumia mazoezini huko huko Qatar..jana.Brnzema kaumia lini kwani?
Nipo apa kakaDStv Now anaetaka nimpe email na password tufaidi nafasi ziko 2
Sasa mbona hawa TBC wanaonyesha sherehe yao
nichek pm mkuuNipo apa kaka
DStv Now anaetaka nimpe email na password tufaidi nafasi ziko 2
Inasaidia sana popote ulipo unacheki hasa mechi ambazo zitaanza saa saba
Inasaidia sana popote ulipo unacheki hasa mechi ambazo zitaanza saa saba
Hv namna ya kui connect kwenye simu iko vp na Ni app gan coz ile my dstv kuna pindi ilikua inazinguaInasaidia sana popote ulipo unacheki hasa mechi ambazo zitaanza saa saba
Yah mkuu...mchawi bando tuHapo dstv now ndo huwa inatusaidia kama unatumia dstv
Vipi upande wa bando kwa mechi mojaInasaidia sana popote ulipo unacheki hasa mechi ambazo zitaanza saa saba
Tayari washasepa naoHii ndio mida ya Tanesco kupita na umeme huku kwetu
Senegal ×The Hand of God now belongs to me," Luis Suarez declared after Uruguay's quarter-final win over Senegal in 2010. "I made the best save of the tournament."