Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Dk na mda uliopotezwa haviendani kabisa

Mtu anafungwa bandeji dk 3 zinaongezwa dk 12 [emoji23][emoji23]
Mkuu world cup hii kuna 'strict time management'

Kila dakika ambayo mpira hauchezwi itaongezwa

Kwa hio mipira ya kurusha..kuchelewa goal kick au corner na kujifanya kuumia zote dakika zake huongezwa ila kuondoa upotezaji wa muda kwenye mpira

Ndo maana unaona dakika zinaongezwa nyingi
 
Messinaliwekwa kwa mfuko...jamaa wapi vizurihawa taifa stars wananjweka bao nyingi tuu.

Aisee kumbe aliwekwa kwenye mfuko?

Ndio maana vijana wa Saud walikuwa wanamtafuta kwenye mifuko ya Journalists


Your browser is not able to display this video.
 
Nd
Hivi Kwanini Kombe La Dunia Tangu lianze Last week Dakika Za Nyongeza Zinakuwa Nyingi sana Wastani wa Dakika 14 za Nyongeza kwa KilaMechi?

Ni utaratibu mpya wa FIFA
Ndio ndo maagizo ya marefa waliopewa na kiongozi wao Collina



Mkuu world cup hii kuna 'strict time management'

Kila dakika ambayo mpira hauchezwi itaongezwa

Kwa hio mipira ya kurusha..kuchelewa goal kick au corner na kujifanya kuumia zote dakika zake huongezwa ila kuondoa upotezaji wa muda kwenye mpira

Ndo maana unaona dakika zinaongezwa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…