Duh jana skuangalia mpira kabisa nlikuwa busyJana golikipa wa Wales alilimwa iyo kadi kea kucheza rafu dhidi ya mshambuliz wa Iran.
[emoji23][emoji23]Mbappe leo hajacheza nini?
Au ni majeruhi?
Anatoka mchezaji mmoja wa ndani kisha anaingia kipa mwingine wa akiba.Hivi kipa akipata Kadi nyekundu nani anakuwa kipa?
Tuambie upo wapi tufanye mamboHivi nyie mnaolalamikaga umeme kukatika mnaishi wapi,nnapoishi kusema kweli sjawah ona umeme ukikatika na sipataji mana watu wasije nisagia kunguni TANESCO wakashtukia zali[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hii nchi ngumu sanaTuambie upo wapi tufanye mamboView attachment 2428323
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mi siangalii mpira najaribu kuuliza tuKwamba yule aliepo pale uwanjani ni twin wake au
Hivi nyie mnaolalamikaga umeme kukatika mnaishi wapi,nnapoishi kusema kweli sjawah ona umeme ukikatika na sipataji mana watu wasije nisagia kunguni TANESCO wakashtukia zali[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aloooooTuambie upo wapi tufanye mamboView attachment 2428323
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yupo kacheza sana mbonaMi siangalii mpira najaribu kuuliza tu
Heee bas kune msafara wa mamba na mie kenge nimo[emoji848]Laini nyingi zinzazoenda nyumba za viongozi wa serikali umeme haukatiki
Sawa Amina mitaqoMnafungwa msipofungwa niite mkombozi
SenkyuuAnatoka mchezaji mmoja wa ndani kisha anaingia kipa mwingine wa akiba.
Utani wa ngumi huu Depal Mi***[emoji16]Sawa Amina mitaqo
Vipi ana dalili yeyote ya kufunga?Yupo kacheza sana mbona