Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Azam TV hawataki tumuone mama Samia [emoji22][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ambao hatujalipia

Kuna Muda huwa Nasahau hata Jina La Rais wetu [emoji2357][emoji2357][emoji2357][emoji2357] Kumbe ndio Mama Samia.
 
Namshukuru Mama nimeweza kuamka salama mpaka sasa nimepata fursa ya kufanya haya mahojiano[emoji23].
Mkuu acha tu,kwenye ajali ya bukoba tu wameanza kumpa pole mama samia badala ya kuwapa pole familia za wahanga

Anyways tuangalie mechi mkuu tusije tukapotezwa na kupewa kesi ya kuhujumu uchumi kwa kumsema mama [emoji28]
 
Marhaba Qatar [emoji1203], atakaenipatia maana ya haya maneno. Hakika nitasimama kupinga salamu ya shikamo-marhaba[emoji16][emoji16]
 
Mkuu acha tu,kwenye ajali ya bukoba tu wameanza kumpa pole mama samia badala ya kuwapa pole familia za wahanga

Anyways tuangalie mechi mkuu tusije tukapotezwa na kupewa kesi ya kuhujumu uchumi kwa kumsema mama [emoji28]
Hii nchi bwana[emoji1].

Twende Qatar mkuu.
 
TBC wamekula mlungura kutoka Azam wamekata matangazo kwa ambao hawajalipia visimbuzi, wanasahau hii ni chanel ya Taifa hata bure kwa wananchi yapaswa kuonekana
 
TBC wamekula mlungura kutoka Azam wamekata matangazo kwa ambao hawajalipia visimbuzi, wanasahau hii ni chanel ya Taifa hata bure kwa wananchi yapaswa kuonekana
Nahisi wazee wa 10%. Wameingia hapa
 
Look who we are, we are the dreamers
We’ll make it happen ’coz we believe it

Alikika Messi akiimba kiitikio kwa nguvu 🤣
Kubbke huu wimbo wake hadi nimeudownload. We're dreamers
 
Look who we are, we are the dreamers
We’ll make it happen ’coz we believe it

Alikika Messi akiimba kiitikio kwa nguvu 🤣

Oyaaa..walivyoipafomu ilinoga kinyama
 
Nafurahi kusikia mwana Simb mwenzangu Jeff akitangaza hii kabumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…