ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Azam TV hawataki tumuone mama Samia [emoji22][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ambao hatujalipia
Hawa wa bongo wamekikariri kiarabu kama nyimbo, hilo unalotaka wafanye ni kuwatafutia lawama tu.
Mkuu acha tu,kwenye ajali ya bukoba tu wameanza kumpa pole mama samia badala ya kuwapa pole familia za wahangaNamshukuru Mama nimeweza kuamka salama mpaka sasa nimepata fursa ya kufanya haya mahojiano[emoji23].
Hawawezi[emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo maana hadi muda huu hawajajibu
Yep, ukiwa na Pesa unajiaminiWatu wanapenda lugha za kwao ili wajitambulishe
Hii nchi bwana[emoji1].Mkuu acha tu,kwenye ajali ya bukoba tu wameanza kumpa pole mama samia badala ya kuwapa pole familia za wahanga
Anyways tuangalie mechi mkuu tusije tukapotezwa na kupewa kesi ya kuhujumu uchumi kwa kumsema mama [emoji28]
Kubbke huu wimbo wake hadi nimeudownload. We're dreamersMkorea mmoja wa kiume
Jungkook
Mkorea mmoja wa kiume
Jungkook
Tupambane generation zetu za baadae zikashuhudie mechi za world Cup live uwanjani na sio kwenye Tv[emoji28]Hii nchi bwana[emoji1].
Twende Qatar mkuu.
kama ni mzigo wa kutosha unauza mechi tuKuna tuhuma wachezaji wa Ecuador wamepewa mzigo ili wafungwe mechi ya leo
Nahisi wazee wa 10%. Wameingia hapaTBC wamekula mlungura kutoka Azam wamekata matangazo kwa ambao hawajalipia visimbuzi, wanasahau hii ni chanel ya Taifa hata bure kwa wananchi yapaswa kuonekana
Kubbke huu wimbo wake hadi nimeudownload. We're dreamers
Look who we are, we are the dreamers
We’ll make it happen ’coz we believe it
Alikika Messi akiimba kiitikio kwa nguvu 🤣
Kuna watu elfu sitiniMbona kama uwanja mkubwa sana🙂