Mchezaji bora kwenye michuano hii ni huyo Tanesco.Tanesco washafanya yao[emoji23]
Tayari wamefungwa.Hili swala la mabeki kubutua mipira mbele hovyohovyo ni mchezo wa kizamani sana, hii ni sawa na wao kuwa sehemu ya team ya Serbia kwasababu wanasaidia Serbia kumiliki mipira kila wanapoipoteza.
Wanajikaba wenyewe, na muda si mrefu watawaka.
Hakuna kitu ,watarudi Younde kula FuFu .Mlioko mbele ya Luninga, hawa vijana wa Rigobert wanatuvusha?
Hii game tutapasuka na kuishia kipigo cha aibu kwa brasilTayari wamefungwa.