Sipingi.Hawa ndo vibonde walioenda Qatar.
Hakika ni upuuz sana.Kasema mdau moja juu apo
Cameroon wanacheza ule mpira majalo
Zamani tukiwaita wasafishaji
Kila mpira unaokuja unaufumua uende mbali na goli lako
Kumbe kufumua mbali ni kuwarahisishia wapinzani kukaba na kuweka mpira chini
Huyu Onana ndo nani?Onana aliwaambia Nicolas Nkoulou asianze.
Basi Etoo akachukia ndo wakamfukuza Onana. Onana was right.
Yan team zetu izi kaz sanHamna watu hapo bench limejaa kujuana tuu kiuhalisi Africa bado kuwa na nidham ya game plan kiujumla
Hata team selection ni mipango tuu zaidi ya kupambania per diem tuu
Wanavuna walichopanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Onana aliwaambia Nicolas Nkoulou asianze.
Basi Etoo akachukia ndo wakamfukuza Onana. Onana was right.
Itakua Et'oo alitoa bahasha hapo.Walibebwa na Refa Gassama.
Mlinda mlingo number moja.Yeye ndo anajua nani mlinzi bora.Huyu Onana ndo nani?
Waganga wa nchi yakeSipingi.
Alafu Eto'o alitudanganya kua Cameroon watatinga final.
Sijui alitaka tuwadhamini kwa pesa ya mkopo kisha tuende jela!!!
Ngozi ya goti tuna kwama wapi?
Yes ndivyo inavyosemekana.Itakua Et'oo alitoa bahasha hapo.
Oooh hapo nimekuelewa.Mlinda mlingo number moja.Yeye ndo anajua nani mlinzi bora.
Sijui walipitaje HawaNapigilia msumari, dada yangu.