Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kama utafatilia Aya Mambo kwa umakini mkubwa na kufatilia kiundani siku Hadi siku tangu zilivyoanza hizi taarifa mpaka kufikia hii leo kwa namna ilivyo pande zote mbili alafu ukasoma text yangu vizuri na kwa utulivu mkubwa Utagundua kwamba mimi Sina Lakusema Asanteni sana.
 
Wakati mwingine ni vizuri kuweka akiba ya maneno.Baada ya dakika 90 huyo Onana bado anamcheka Etoo?
Huyu sister sijui ana tatizo gani na Etoo maana sioni kosa la Etoo kwenye hii issue. Mtu kamkosea nidhamu kocha wake na iko confirmed halafu aadhibiwe iwe nongwa. Kwanza aliefanya maamuzi ni kocha wake ila huyu maza ye kamkomalia Etoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…