Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Bruno Fernandes ni mchezaji wa soka wa Kireno ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya Manchester United iliyopo nchini Uingereza na pia timu ya taifa ya Ureno
Kwa hapo ni sahihi

Mwanzo humu wengi nimeona mnamtaja Ronaldo nikadhani na hoja yako ilikuwa inamlenga yeye
 
Aaah humu wengi tunafahamu vikosi vizima vya timu zetu pendwa epl na habari zao za mikataba. Na pia wengi wanashabikia mchezaji mmoja moja yeye kama yeye kisha timu inafuatia
Kwa hapo ni sahihi

Mwanzo humu wengi nimeona mnamtaja Ronaldo nikadhani na hoja yako ilikuwa inamlenga yeye
 
Aaah humu wengi tunafahamu vikosi vizima vya timu zetu pendwa epl na habari zao za mikataba. Na pia wengi wanashabikia mchezaji mmoja moja yeye kama yeye kisha timu inafuatia
Weweee huyo tena na AIR siharasevenii
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nasubiria damu ya Red devil ibebe kombe halafu hicho kikosi asiwemo mchezaji hata mmmoooojaaa wa chelbahari
Yaaan ndio nashtuka sahivi ..
Mwanitesa United naona mko na furaha utadhani mko EPL 🀣🀣

Dada tuliaaaaa, hii ni World Cup
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nasubiria damu ya Red devil ibebe kombe halafu hicho kikosi asiwemo mchezaji hata mmmoooojaaa wa chelbahari
Nakwambiajee
Ndoo itabebwa na kikosi chenye mchezaji wa Chelsea na Arsenal.. 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…