ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Huku Tanesco wamekataTanesco wameshafanya yao
Wanazingua[emoji28][emoji28]Hawa watangazaji wa kibongo wasengee wanatiharibia radha ya mpira
Qatar hii game hawatoboiQatar Dakika 10 tuuu wako Hoi kama wamecheza 120
Nimechungulia tbc 1 walahi Mungu anawaonaa🤣🤣🤣🤣😂😂😂 nimejaribu kuangalia na simu nimekuta kiswahilii, nimeachaa.. siwezi chezea mb hivyo
Mbeleko ya wazi kabisa..Ha ha ha hiyo sio Offside hata, hapo kuna namna
🤣🤣🤣 wanapiga ndoigeNimechungulia tbc 1 walahi Mungu anawaonaa🤣🤣🤣🤣
Na wewe 🤣🤣Mbeleko ya wazi kabisa..
Labda kwa kuwa ni wenyeji..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa Qatar hamna kitu, ni kama Yanga tu
Daaaaah🤣🤣🤣 wanapiga ndoige
Ni wanaonyesha kama hawaonyeshi
Ila wenyewe wanakwambia iko clear 🙌
Yani nyie mnadhani FIFA wajinga,mwenyeji kaandaa mashindano alafu aanze kufungwa dk ya pili?acheni masihara 🤣,zaidi ya usd bil 200 zimetumika hapo mjue.Ecuador wamenyimwa goli halali, hakuna offside, mchezaji wa Qatar alikuwa karibu kabisa na mstari golini
DStv wametukosea saana[emoji23][emoji23][emoji23] nimejaribu kuangalia na simu nimekuta kiswahilii, nimeachaa.. siwezi chezea mb hivyo
KAOTEA MGUU MMOJAMbeleko ya wazi kabisa..
Labda kwa kuwa ni wenyeji..
Wamefafanua bana. Ni offsideEcuador wamenyimwa goli halali, hakuna offside, mchezaji wa Qatar alikuwa karibu kabisa na mstari golini
Samaleko[emoji28]Na wewe [emoji1787][emoji1787]