Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Haya ni mashindano sio ligi mkuu

Ili utoke hatua moja kwenda nyingine inahitaji nidhamu ya hali ya juu ya game manegemant
Hawa jamaaa wangese sana walikuwa natafuta draw kwa kutulia....mie nilitegemea bonge la mechi wao wanacheza kama wana mwiko matakoni
 
Haya ni mashindano sio ligi mkuu

Ili utoke hatua moja kwenda nyingine inahitaji nidhamu ya hali ya juu ya game manegemant
Sasa hapa hawa wame manage game vipi. Bro kupata draw inabidi nawe upambane. Wana mpira wanacheza just to feet, ona wenzao senegal runs in behind, overloads by fullbacks. Hawa ekwado yule fullback wao manywele kwanza kule saar kashamzidi. Huku upande wa estupian anapigwa mande na huyu shombesshombe na sabaly.
Striker wa ekwado hajagusa mpira anaruka ruka tuu.
 
[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]

Naona umeifuma komenti yangu[emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
yaani na hivi ndio nime log in hii ni comment ya tatu inanichekesha
 
Tactical ecuador wamefanikiwa hii game mzabzab

Senegal wamekimbia Km nyingi ila wameshindwa kufunga kwenye open play
Wee unaamgalia mechi tofauti na sie wengine🤣🤣🤣🤣🤣

Wee huoni hapansecond half wao wanatawala na kocha kaona yale niliyoyaongea. Kamtoa yule striker alafu kamsogeza yule captain wao juu huku oembeni kaweka wingaer ambaye ataweza mzuia sibally. Hapa sasa watapata goli.

Sii unaona sasa fullbacks zinapanda
 
Wamefanikiwa au sababu senegal wameamua kukaa nyuma hizi dkk kumi za mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…