SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 968
- 1,022
Kuna video nimemuona bimkubwa wa ghana sijui...kashika mafuta ya upako kwenye tv akawapaka wachezaji π€£π€£π€£π€£ wakiwa wanaimba wimbo wa taifaWajitahid senegal waongeze goli lingine na wajilinde vzr, Africa tunawaombea jmn
Ukiangalia hii game utagundua makocha wengi wa timu za Afrika ni chenga tupu. Kwa game kama hii sikuona sababu kupaki basi, yaani mpaka wafungwe ndio wanatoka golini kwenye kushambulia.
Walinde lkn waongeze jmn, hpa presha tuFor me naona walinde sana goli...maana ecuador akirudisha tutalia....hatutakua na chance tena
Eeh niliiona hiyo video.Kuna video nimemuona bimkubwa wa ghana sijui...kashika mafuta ya upako kwenye tv akawapaka wachezaji π€£π€£π€£π€£ wakiwa wanaimba wimbo wa taifa
Nafasi za wazi nyingiiUkiangalia hii game utagundua makocha wengi wa timu za Afrika ni chenga tupu. Kwa game kama hii sikuona sababu kupaki basi, yaani mpaka wafungwe ndio wanatoka golini kwenye kushambulia.
[emoji3] Maisha Lazima Yaendelee!Nilibet ekwado watapata goli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacheze kwa kutulia na wasibutue wamiliki mpr.
KbsaaaKweli mkuu
Mpaka sasa 1-2 senegal, wakaze buti. Natamani wakutanishwe na brazili au france tuwashikishe adabu
Wafunguke Kama Canada [emoji260] Juzi, Mpira Wa Mitandao Bwana [emoji3]Ukiangalia hii game utagundua makocha wengi wa timu za Afrika ni chenga tupu. Kwa game kama hii sikuona sababu kupaki basi, yaani mpaka wafungwe ndio wanatoka golini kwenye kushambulia.
Hahah kwmb Senegal akutane na France au Brazil amtoe au sijaelewa mkuu?Kweli mkuu
Mpaka sasa 1-2 senegal, wakaze buti. Natamani wakutanishwe na brazili au france tuwashikishe adabu