Nimeiona mkuuWamefafanua bana. Ni offside
Eti eehWanacheza na kibondee
Aisee ule ufafanuzi wenyewe umepita haraka sanaWamefafanua bana. Ni offside
Yah sure halali ni halaliKarudisha goli lake la halali lililokataliwa.
Mezani kuna nini?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Utulivu umezingatiwa...
Wewe sie hatujui lolote hapa duniani. Mpira wenyewe ndio kabisaaaa. U17 u20 u23 zote timu hazichezi afcon ndio utegemee kucheza wworld cup. Tuache utaniKwa Taarifa Tuu hawa ECU wako Millioni 18 Nchi Nzima Na Wanashiriki Kombe la Dunia.
Tanzania tuko Millioni 61 tumebong’aa tuuu
Tulioanza kuzungumzia bahasha tumevuliwa nguo[emoji3][emoji3][emoji3]Aiseee hawa majamaa wana tech ya kutisha
Mwanzo nilidhani ni mbeleko ila hii review ya 3D iliyoonesha offside nimewavulia shati
Kweli mzungu hakosei
Kabisa...uongo mkubwa huoVAR ilitudanganya hapaView attachment 2422420
Utulivu[emoji1787]Meaning kuna nini?
NilichapiaUtulivu[emoji1787]
Wewe si Mkubwa baaana!!!
Aaaaah....Mezani kuna nini?
Mkui ujue mwanzo Refa alipoamua kuwa sio goli baada ya kuangalia VAR hatukumuelewa kwasababu hatukuona reviewHahaha raia mnajifanya kuzijua sana sheria (ujuaji wa kibongo), wakati wakileta vipimo inaonekana kamguu kalizii kidogo, huku hakuna mambo ya kibinadamu[emoji23]
Hiyo hapo penalty, hiyo ndio ya halali.
GSM wanataka kuharibu mpaka Kombe la DuniaYaani mechi ya kwanza tu...washaanza kuwabeba na kuleta controversial