Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Lisandro martinez ni mpigaji pasi mzuri licha ya kucheza beki wa kati, cha kustaajabisha kocha amemweka nje

Ngoja niendelee kuangalia vurugu la timu yenye uhaba wa wachezaji wenye uwezo wa kumiliki mpira.
 
Itabidi niwe mpole leo wageni wajomba zangu wamekuja homu wnaangalia upendo tv hapa hawataki hbr za mpiraa

Wacha nitulie Happ kwa upole huku nimeweka live score
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…