Scezny(?) yupo vizuri sana, sijui kwa nini kipindi kile Wenger alimuuza.Huyu kipa wa Poland, Heshima kwake
Daah tumbo limeanza kuniuma....hii shughuli Argentina ilitakiwa waimalize mapema sana
Lakin pia nahisi uwepo wa social medias umeipa the heat. Kuna diff medias zinaruhusu discussions mechi ikiendelea, kuna mambo ya live score....afu weng wetu tuna simu za kupangusa...i think globalization imeleta the heat zaidi...Hi ni wc ngumu kuwah kutokea
Ndio raha ya kusoma hata hufanyi kazi ngumuAs it standsView attachment 2431981
Kwa mwenendo huu wa game ya Saudi vs Mexico lazima Argentina [emoji1033] apate 3 points inawezekana usiku ukawa mrefu sana kwetuNdio raha ya kusoma hata hufanyi kazi ngumu
Poland kapaki Abood kutokana na kile alichokipata kwenye mechi za nyuma
Sare mwenzetu ye anapika supu
Yule Ochoa ni kama Manula,dawa yake ni mashuti ya mbali.Madam kaangalie wasifu wa Ochoa..ni basi tu Arg alimbahatisha juzi. Ila Ochoa si mtoto eti. A8fu kule magoal keeper wote wawili wako vizuri..si muarabu si wa mexico
Una mawazo kama yangu. Ni vyombo vya habari vya Uingereza vilikuwa vinamwandama kuwa hana kiwango. Halafu Arsenal ilikuwa kwenye kipindi kibaya hivyo wanajaribu kushika kila ''jani linaloelea''. Tangu ahame amekuwa kipa mzuri sana. Ni sawa na huyu Martinez wa Argentina. Arsenal walimuuza lakini mimi naona kiwango chake ni kizuri tu.Scezny(?) yupo vizuri sana, sijui kwa nini kipindi kile Wenger alimuuza.
Argentina walifanya uzembe kwa Saudi sasa wamekutana na vipanga wenzqo, halafu ndio unataka usawazishe makosa yako, siku zote huwa haiwi kazi nyepesiDaah tumbo limeanza kuniuma....hii shughuli Argentina ilitakiwa waimalize mapema sana
Bora alaumiwe yeye kuliko angekosa mwingineU star kwenye vitu vya muhimu?
Lile lilikuwa kosa kubwa...tulifungwaje na wasaudia... like how!!!Argentina walifanya uzembe kwa Saudi sasa wamekutana na vipanga wenzqo, halafu ndio unataka usawazishe makosa yako, siku zote huwa haiwi kazi nyepesi
Good...! hiyo sasa ndiyo habari njema maana ninyi Mama zetu msipochoshwa tu mengine pia huibukia papo hapo [emoji6][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] tayari
Argentina mbovu Poland wa kawaida mno bossArgentina walifanya uzembe kwa Saudi sasa wamekutana na vipanga wenzqo, halafu ndio unataka usawazishe makosa yako, siku zote huwa haiwi kazi nyepesi
Nyie wabovuLile lilikuwa kosa kubwa...tulifungwaje na wasaudia... like how!!!
Ulitaka Kusemaje LabdaSi alikuwa arsenal au umemsahau ?
Au ww shabiki waWC tu