Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #13,241
Duh kwahio africans wameshaonekana sasa kuwa ni failures 😁Canada wakafukuze huyu kocha, hizi back passes zao na kukosa plan B kumewaangusha. Wapunguze na idadi ya hawa wachezaji weusi, wengi wao wana Uafrika mwingi sana.
Wee dear [emoji629] tunashinda na kusonga mbeleeee.I love Germany
But I think Germany will loose this game....let's wait and see
Tumepata tayariiWee dear [emoji629] tunashinda na kusonga mbeleeee.
🤣🤣🤣Ujerumani piga hao waamerika ya kusini warudi kwao wakalime cocaine
Spain wanapata goliMara PAAP Spain katoka [emoji23]